Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.
Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha...
Ibara ya 47(1)(c) inasema wazi kwamba Rais akiwa hayupo Makamu wa Rais anafanya kazi zote za Urais na ninainukuaa hapa chini,
"Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla, na atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko...
Acha kudanganya watu ujinga wako na hutaji ibara yoyote inayoseea unayosema. kinyume chake ibara ya 47(1)(c) inasema wazi kwamba Rais akiwa hayupo Makamu wa Rais anafanya kazi zote za Urais na ninainukuaa hapa chini,
"Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu...
Wewe ni mtu wa ajabu sana. Watu wanajadili kuhusu sheria ya nchi wewe unasema tusubiri wanasheria.
Hivi sheria imetungwa kwa ajili yako au kwa ajili ya mwanasheria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.