Siwezi kukupinga kwa sababu ni ntazamo wako, Ila mimi nina mtazamo tofauti kidogo na wewe. Mimi naamini kuna watu zaidi ya milioni nane waliojiandikisha kupiga kura na ambao hawakupenda kutopiga kula ila walikuwa nje ya makazi yao siku ya kupiga kura. kwa mfano mtu yuko mwanza siku ya kupiga...
Adebayor Habebeki ? Kama sio striker si acheze namba nane? utachezaje nyuma ya striker wakati wewe ndo uko mbele mwisho? Wenga kwa kawaida ni mvumilivu na huwa hatoi adhabu nusu ya msimu, hivyo kiendo cha kuona amekubali ofa ya Man haraka kabla hawajabadili mawazo, inaonyesha ni kwa kiwango gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.