Imeshazoeleka hapa nchini kuchakachua kura katika chaguzi mbalimbali kama ubunge, urais, udiwani, n.k. Serikali ya CCM isihamishe uchakachuaji huu kwenda kwenye elimu.
Kama kuna kosa kubwa lingine ambalo serikali ya CCM itafanya ni kubadilisha matokeo ya form form ya mwaka 2012. Taasisi...
Wakati umefika kwa Anna Makinda na Job Ndugai kufukuzwa uspika. Hali ya sasa inayoendelea bungeni inatia aibu, inasikitisha, kuhuzunisha, na kukasirisha. Ni aibu kwa taifa zima kuona namna Makinda na Ndugai wanavyoendesha bunge kama vile wanaendesha familia zao. Wanaendesha bunge kwa mihemko ya...
Kunahitajika mikakati ya kizalendo kutoka kwa wazalendo. Ifike mahali tuseme sisi kama Watanzania misingi yetu ya kitaifa ni Umoja. Watawala na wananchi watekeleze msingi huu kwa vitendo. Nyerere alituachia msingi wa umoja. Na kuwa serikali haina dini ila wananchi wake wana-imani zao. Tusikubali...
Hali ya sasa ya udini imenikumbusha threadi hii niliyoposti mwaka 2009 kwamba urithi wa utawala wa Kikwete ni udini. Kwamba Kikwete ataiacha nchi iliyogawanyikakwa misingi ya kidini. Nahisi hii ni mpango wake mahsusi wa kuficha udhaifu wake wa ki-utawala na matendo yake mabaya ya utawala wake.
Saanene amezidi kuthibitisha rangi halisi ya Zitto..Ni fisadi lililojificha, anaubinafsi uliopindukia hata anatishia kuua watu pamoja na panya wakio katika nyumba zao
Nimeaga kwetu, nina uwezo wa kuua wapinzani wangu na kila kitu chao pamoja na panya ndani ya nyumba zao nikiwa hai au nikiwa mfu (Zitto Kabwe, 2012).
Kauli hii inasura nyingi.
1. Zitto anaweza kutoa roho ya wapinzani wake katika upuuzi wake wa kufikiri aweza kuwa rais
2. Ina matusi kwa Saanene...
Hoja zako nyepesi nyepesi sana hasa ukizingatia kuwa wewe ni mmoja wa waanzilishi wa JF. Nakushauri kabla hujaleta mawazo yako hapa peleka kwa Kiranga au Mwanakijiji wafanya uhariri. Hoja zako hazifurahishi hata kidogo kwa kuwa hazisaidii akili katika kutafakari. Ulitakiwa kuonyesha kwa mifano...
Lini Pinda ataachwa kudhalilishwa?
Josephat Isango
NAOMBA niwakumbushe Watanzania wenzangu maneno yaliyomo katika Azimio la Arusha, naamini maneno haya bado yana maana kubwa sana katika kumkomboa mwananchi.
Tumeonewa kiasi cha kutosha, tumenyonywa kiasi cha kutosha na tumepuuzwa kiasi...
Sauli Giliard
Tanzania Daima
SINA nia ya kukuchekesha msomaji wangu lakini nimekaa nikawaza kisha nikadhani kuwa yawezekana Rais wetu Jakaya Kikwete, hana taarifa kama madaktari nchini wako kwenye mgomo kwa zaidi ya wiki mbili sasa.
Sijui kama rais anajua...
Ukifuatilia hoja za wana CCM kama vile Jenista Mhagama Bungeni utashangaa. Wanajisahau kiasi kwamba wanadhani katiba ya nchi ni mali ya CCM. Muda huu siyo wa CCM kudanganya wananchi. Huwezi kutenganisha mchakato wa kuunda katiba na katiba yenyewe. Lazima kila mwananchi ashiriki na akubali...
Nawafahamisha kuwa nimeanza kusoma tena gazeti la Tanzania daima kuanzia wiki ya jana baada ya kuona Njozi ya Mwanakikji imechapishwa. Leo tena Njozi ipo na gazeti nimenunua linalo. Njozi ya leo inasomo zuri sana kuhusu namna ya kupambana kwa hoja na kundi la watu linalotaka kuandika historia ya...
Nimetoa jibu tayari. Tunahitaji njia mbalimbali kuurudisha umoja wetu unaoharibiwa na CCM. Hivyo kutumiwa mimi pekee haitoshi. Mawazo ya kizalendo yanahitaji kuenea kwa watanzania wengi, wewe hautaki wananchi waurudie uzalendo wao na kukuza utaifa wetu hadi unapendekeza isomwe na wachache?
Mimi sikuona marudio, kila sehemu ilikuwa na ujumbe mpya. Habari ya kitabu ni wazo zuri pia, lakini kukuza uzalendo katika nchi yetu unauliwa na CCM tunahitaji mbinu mbalimbali za kuurejesha ikiwemo kuchapisha katika magazeti na baadaye kitabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.