Mungu akusamehe urejeshewe akili naona zinakutoka baada ya Laana ya Kumpiga Warioba..Toka lini matakwa ya Sheria yakachanganywa na UDAKU Unaousema? Matakwa ya sheria yanaitaka Tume kusimamia taratibu zote na wala sio Rais..Tubu dhambi akili ikurudie..
Mkuu CCM Wakidhamiria Jambo kuwashinda ni mpaka nguvu kubwa ya Umma itumike,Kama wameweza kulazimisha akidi itimie Bungeni unadhani watashindwa nini kuipitisha katiba yao kwa wananchi..?? Kibaya zaidi na kizuri kwao iyo kura ya Maoni ya wananchi inasimamiwa na Tume ya Uchaguzi iliyochaguliwa na...
Mmetuchosha na Maneno yenu ya Ulaghai,yanatakiwa kupuuzwa na Mtu yeyote anayejielewa,kwa tathmini ya haraka,zaidi ya asilimia 90 ya Members wa JF Wanajielewa,wanauwezo wa kupambanua mambo vizuri kujua kipi ni propaganda na kipi ni fact,na katika hao 90% ni zaidi pia ya 80% Miongoni mwao...
Wanabodi,
Kwa mwenye mawasiliano/kujuana na Mtaalamu wa Masuala yan Bakery anahitajika Morogoro.
Itapendeza ikiwa atapatikana kutoka either Morogoro,Dar, Pwani au Arusha.
Kama atapatikane uni PM au Tuwasiliane kupitia businessnow271@gmail.com
Mkuu,tayari hapo kwenye red wewe mwenyewe unakiri kua usafiri wa reli umefanywa wa kusuasua maksudi ili wafanye biashara ya Mabasi ..sasa unafikiri wazo la kurudisha usafiri wa reli kwa sasa ni rahisi kama utatuzi wa haraka kunusuru hali mbaya ya ajali zinazoendelea??????
Ninafikiri kuna haja ya kutoa Elimu kwa Raia(Abiria) juu ya Haki zao wanapokuwa ndani ya Chombo cha usafiri hii itachangia abiria kuwa aware endapo dereva atakiuka sheria barabarani....Heshima kwako mkuu!
Kwa mujibu wa katiba ya sasa Wananchi wamepewa mamlaka ya kuwachagua viongozi wanaoona wanafaa kuwaongoza na kulisukuma gurudumu la Maendeleo mbele,2015 ni mwakani tu mkuu tumia fursa hiyo ipasavyo ikiwezekana toa hamasa na kwawengine pia.
Unapozungumzia nchi zilizoendelea ina imply vitu vingi sana kwanza vyombo vyao vya usafiri ni bora na salama kuliko vyetu, Mianya ya rushwa ni kidogo ukilinganisha na sisi hivyo si rahisi kumuhonga traffic hata kama gari lako lina makosa,Mamlaka zinazosimamia masuala ya usafiri ni makini na...
Hiyo ni long term plan Mkuu, wanasiasa kwenye ilani za vyama vyao watakua nazo hizo..ila sasa itachukua 25 years ku implement hilo kwa viongozi wetu.Ngoja tujadili kinachowezekana sasa maana Vifo kila kukicha vinatokea wala havisubiri hizo barabara pana,treni za kisasa,ndege na Meli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.