Ukizungumzia depreciation angalia na thamani ya pesa unayozungumzia. TZS inashuka kwa kasi, ukiweka depreciation muuzaji anakua amepata hasara Mara mbili. USD 5000 za 2018 kwa TZS sio sawa na USD 5000 za 2023.
Lakini pia, ithaminishe hyo Gari kwa USD kutoka mwaka alionunua, utagundua Kuna...
Kwa jinsi miaka inavyokwenda, Kuna siku dunia nzima itamuelewa Hitler. Kwa bahat mbaya sana hakua muislamu, hivyo akaitwa Dikteta.. kwa maana ili uwe gaidi sharti kwanza uwe muislamu.
Hii post haihusiani na udini, kasome historia ya Hitler.
Sielewi kwa nini hii nchi inaruhusu mambo kama haya. Nani mdhibiti wa hivi vikundi? Wanajipangia riba tofaut kabisa na sheria za nchi.
Kila unapoingia online wanapiga promo kumbe wananchi wanateseka hivi? Wafungiwe kuanzia sasa waonje maumivu.. CC@Mwigulu
Ushabiki usikutoe fahamu, unajua naingiza kiasi gani? Au unataka nitaje ionekane nakunyanyasa ndani ya nchi yako? You're playing with lion's balls son.
Kwenda Algeria tulivumilia ila hili la kwenda Mbeya, hapana.
Na msimu ujao, zawadi na posho ikiwemo hizo ofa za Ndege zitangazwe mapema.. Isiwe sasa kisa Yanga kafikia hatua fulani...
BTW mashabiki lialia Nendeni Jangwan Kuna mafuriko mkaokoe medali zenu.
Kwa kipindi chote hicho eneo halijaendelezwa, karibia miaka 50.. kwa sasa mzani umeinama huwezi kuwatoa wananchi pale.
Sheria yetu ya ardhi pia iangaliwe upya, inakuaje mtu hajaendeleza eneo miaka yote hiyo na bado ana umiliki?
Sheria iwe miaka mitano, kama huna chakufanya eneo linarudi...
Yanga wamemuacha mwenzao anashambuliwa peke yake na hoja wameitoa wote kwenye vijiwe nuksi huko. Mods naomba dislike button, siipati kwenye app [emoji13]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.