Search results

  1. M

    Kwanini idadi kubwa ya wanawake wasomi hawaolewi?

    😂😂😂😂😂😂😂😂
  2. M

    Unatafuta kiwanja Dodoma?

    Kwa nini bei unayouza haiendani na uhalisia maana nimeshauliza viwanja vingi naambiwa bei za juu zaidi na size ni ndogo zaidi ya iyo yako. Tafadhali..nami ni muhitaji
  3. M

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Yaani huu uzi umenifanya nilie machozi na nimejikuta nawaombea Miss chagga na wengine. Yesu akutane na mioyo yenu iliyoumizwa na aiponye. Uzi
  4. M

    BUNGENI: Serikali imeagiza sukari kutoka nje sababu ya uhaba

    mbona niliskia kama walikataza na wakasema sukari ipo ya kutosha? kulikoni tena?
  5. M

    Kwanini Wanaume Werevu na Wasomi waliobobea huoa wanawake wenye Elimu ya wastani?

    Mm nina degree 3 na mume anaxo degree 3 na maisha yetu ni heaven on earth..never generalize maisha hayana fomula!!
  6. M

    Wimbo wa 'Mungu ni mungu tu, atabaki kuwa Mungu tu'

    Umeimbwa na mwimbaji chipukizi Christopher Mwa......
  7. M

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    mi ilikuwa issue ya kusindikizwa na wanafamilia huku nikiwa na mawazo lukuki back 2005 KLM to Amsterdam then nkachange to Michgan state kisha Massachusetts. Sikuthubutu kuinuka kwenye siti nikishakaa hadi ndege itue mwe! Mbaya zaid nlikaa na mthungu haongei ata salamu mwanzo to mwisho wa safari...
  8. M

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Mimi was 2005 to USA..dah vituko vilikuwa vingi but kwa uchache nilishindwa kuflashi choo, airpot Michgan nilirukia elevator inayoshuka badala ya inayopanda nk!
  9. M

    Mkwawa high school: Singo hii inakukumbusha nini?

    Yaani umenichekesha kweli kwa huo wimbo mliomtungia mama Masawe, hii yaonyesha tulikuwa wote miaka hiyo ya 1997/1998 ivi duh!wanafunzi bana. nawakumbuka "Mkwawa day" kina Puff Dady wakiwahi Dh mezani kwako hupati ugali wala haragwe coz walikuwa wanasanya kwenye kindoo!!!
  10. M

    Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

    Mungu alipomuumba Adamu alimpatia mwanamke mmoja tu. Wanaosema haiwezekani wawili tu ni kumkufuru Mungu. Mimi na mume wangu tuna experience ya 100% kwa miaka 6 na tunaamini itaendelea hadi kifo kitakapotutenganisha!!!!!!!!!!!!
  11. M

    TAKUKURU: Chenge hahusiki na tuhuma za RADA

    hii ni habari ya kweli au wameanza kumsafishia njia kuelekea Uspika wa Bunge????
  12. M

    Elections 2010 Wana JF Tumeiangusha CHADEMA, tumewaangusha watanzania, tumemsaliti Dr Slaa

    Wana JF tulitakiwa kushiriki kikamilifu zoezi la uhamasishaji na hatimaye upigaji kura kuanzia kwetu na familia zetu badala ya kubaki kwenye computure na simu zetu kupiga story za uchaguzi!! Kama unajijua kuwa hukupiga kura na hukuwa na sababu za msingi, bora ukaacha kupiga domo hapa kuhusu...
  13. M

    Huu ni mwanzo mzuri

    Kwa kweli rais wetu alichemsha, hotuba yake haikuwa na hadhi ya Urais. Isitoshe naamini madai ya TUCTA ni ya msingi na bila shaka walipopendekeza kima cha chini walitoa pia na altervative source of funds. Serikali ingepunguza matumizi makubwa yasio ya laziam kwa maofisa wake na wanasiasa pamoja...
  14. M

    Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

    Fidel umesema kweli, asomaye na afahamu. lakini pia na mengine yanahitajika has kumjali mwanamke-little care, vitu vidogovidogo ndo wwanawake huwa wanamind i.e mapenzi ya huba..
  15. M

    Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

    baba nakubaliana nawe kwa kiasi kikubwa!
  16. M

    Kwanini Hawaoani Hadi WAMEONJA?

    Jamani sio wote wanafanya haya mambo kabla ya ndoa. Pia sidhani kama ni sahihi kusema waschana wanaosoma chuo kikuu ni malaya 'is too theoretical" sio reality. Mm ni shahidi na niliweza kusubiri hadi degree ya pili nilipoingia kwenye ndoa. Nadhani KUTOKUMCHA MUNGU KWA MTU BINAFSI kunachangia...
  17. M

    Nisaidieni issue hii ya labour

    Nadhani maelezo yake hayatoshi ku-justify anachosema. Labda tungejua zaidi upande wa mwana dada huyu uko vipi-any hidden thing? aweke wazi
  18. M

    Zitto Arejea Ujerumani kwa PhD

    Jamani wasomi wetu jitahidini basi hiyo elimu mnayopata muitumie kulisaidia taifa zaidi kuliko kuangalia maslahi binafsi. Wingi wa wasomi ungeendana na matumizi na usimamizi wa rasilimali za nchi, duh! tungekuwa mbali.Zito lakini ndo maandalizi ya wadhifa wa juu serikali au??!!!
  19. M

    Hello mjengoni

    Wana JF wote nawapa Hi! kazi ya kuhabarisha na kuelemisha jamii ni yetu sote, hongereni!
Back
Top Bottom