Ili uondokani na tatizo hilo unatakiwa ubadilishe engine na uweke 5s engine,mimi ninayo hiyo tangu nibadilishe engine huu ni mwaka wa tano ipo vizuri sana na fuel consumption iko poa.
Kwa huo ulaji wa 2.5 kwa km lazima kutakuwa na tatizo.Mimi ninayo gari hiyo ya 1mz engine lkn nilibadilisha engine na kuweka 5s na huu nimwaka wa tatu gari iko vizuri na consumption ya mafuta ni nzuri kabisa.Kikubwa umpate fundi mzuri wa mechanic na wa wiring kwani mfumo mzima wa wire...
Mwenyezimungu akuweke mahali pema,kwa kadri ya uwezo wako ulitimiza wajibu wako wa kusimamia kile unachoamini bila kutetereka ingawa wengi hawakuwa wakikuelewa lakini ipo siku watakuelewa tu ingawa hautakuwepo tena duniani.
Wanasiasa hebu acheni ubinafsi mmjaribu kuwakumbuka wananchi wa kawaida wanaopata mshahara kima cha chini ambao wao gharama za maisha ziko juu siku zote,hili naliona ni kama bomu linalosubiri kulipuka siku moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.