Sioni shida mkuu, Yule Pamoja na Kuwa waziri ni mbunge pia! Kuna namna ya kipekee pia anatakiwa kuwajibika kwa wapiga kura wake. Hizo ndio SIASA za afrika zilivyo. Utakula ulipo peleka mboga
Mkwe wa Rais lazima ana backup, na pesa itarudi Tu hiyo maana bila kufanya hivyo Ubunge wake wa 2025 utakuwa mgumu Sana unless asuburie ubunge wa kuteuliwa kutoka kwa mama mkwe wake Sa100
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.