Huyu dada Mtangazaji wa ITV nadhani inabidi apewe pongezi kwa jinsi alivyojitoa muhanga kutangaza habari za CDM wakati wa uchaguzi hadi sasa, amezunguka mikoa yote na viongozi lakini kikubwa ni kule kutoa habari bila kuchakachua ukilinganisha na vyombo vya habari vingine. hongera dada!!!
safiii Mr Mtitu Kaza buti haki ipatikane kwa wana Ludewa wote, wilaya yetu ipo nyuma sana miaka yote sababu ya kutokuwa nawatu makini tunachotaka si mtu mwenye fedha bali mwenye best strategies za kuikomboa Ludewa, kidogo Prof. Mwalyosi alijaribu hilo lakini huyu wa sasa anataka kutumia cash...
Habari nilizozipata kwa njia ya simu toka kwa mtu wangu wa karibu huko singida ambaye anafuatilia kwa karibu matokeo ni kuwa Tundu Lisu amepeta naye Misanga wa CCM singida kusini chaliii, mgombea wa kusini kupitia chadema sijapata jina lake.
Habari nilizozipata kwa njia ya simu toka kwa mtu wangu huko singida ambaye anafuatilia kwa karibu matokeo ni kwa Tundu Lisu amepeta naye Misanga wa CCM singida kusini chali, mgombea wa kusini kupitia chadema sijapata jina lake
Nimesikia kuna mkakati kabambe wa kuiba kura hapa arusha, namwomba Ndg G. Lema na kamati nzima ya ushindi CHADEMA iweke mikakati madhubuti kwa siku hizi zilizosalia ili hata kura moja mwaka huu isiibwe au kuongeza kura feki, mwana Arusha mwenye simu ya Leme tupeane ili data tunazopata...
Tupeane ratiba ya vipindi hivyo vya TV na ni TV gani zinahusika maana sijaona programme maalumu ya kampen kwenye tv. tujulishe mkuu p'se ili tuchangie fedha ya kurusha vipindi hivyo dakika hizi za mwisho
WAMILIKI WA MABASI WAPEWE SOMO.
Miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko la kuzagaa taka sehemu nyingi za nchi yetu, baadhi yake ikiwa ni zile za plastic ambazo haziozi, nimeshuhudia taka hizi zikizagaa sehemu mbalimbali wakati nikisafiri toka Dar mbeya, NI VEMA sasa mamlaka husika zikatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.