nawasalimu wrote.
nipo naishi Morogoro mjini na nimepata mtaji kidogo wa mil 2 hivi, wazo langu nije dar kuanza biashara au ujasiriamali.
kinachonisumbua ni kua, mimi sio mzoefu na jilo jiji licha ya kua hua naingia na kutoka na dar ninayoifahamu mimi ni ya miaka minne iliyopita.
binafsi...
nimefanya kazi hapo Simanjiro ukanda huo wa mererani ila nilikua disappointed sn Kwa wakuu wa shule. wana mambo ya kishenzi na wanalindwa na DEO wa sec hapo wilayani
suala la kuinuka Kwa elimu ktk wilaya hiyo msubiri Yesu arudi, nilifanya maongezi na huyo Kimweri ikaonesha kanielewa ila...
wadau habari zenu,
Naomba kufahamu taasisi,jumuiya au wataalamu fulani wanaotoa semina ya Ujasiriamali. Nina Mwaka mmoja sasa tokea nianze biashara yangu ya duka la rejareja hapa morogoro mjini, nna shauku ya kupata msukumo wa fikra na mawazo mengine ili nifanye vizuri zaidi na niwekeze...
Nimefatilia mkopo wa wafanyakazi NMB Morogoro na kukamilisha masharti, cha kushangaza ni zaidi ya wiki moja imepita hawajanipa pesa. Sababu wanayoitoa ni eti mtandao unasumbua nchi nzima, how comes mtandao usumbue nchi nzima na hakuna wayout wanayoifanya / kuwaeleza wateja?
Suala hili...
Nimefatilia mkopo wa wafanyakazi NMB Morogoro na kukamilisha masharti, cha kushangaza ni zaidi ya wiki moja imepita hajanipa pesa, sababu wanayoitoa ni eti mtandao unasumbua nchi nzima, how comes mtandao usumbue nchi nzima na hakuna way out wanayoifanya / kuwaeleza wateja.
Suala hili...
najaribu kuusoma mchezo huu hadi ss na
nimeshapata jibu. Siri ni kua Mh. Lipumba na
Dr Slaa ni waroho na walafi wa madaraka ndo
maana leo wamejiengua kwenye juhudi za
ukombozi.
Lupumba alipofika hapa Morogoro na
kuhutubia kwenye viwanja vya sm kiwanja cha
ndege alizungumza uozo wa ccm na...
najaribu kuusoma mchezo huu hadi ss na nimeshapata jibu. Siri ni kua Mh. Lipumba na Dr Slaa ni waroho na walafi wa madaraka ndo maana leo wamejiengua kwenye juhudi za ukombozi.
Lupumba alipofika hapa Morogoro na kuhutubia kwenye viwanja vya sm kiwanja cha ndege alizungumza uozo wa ccm na...
kinana jana kawaita makapi wale wote walioingia cdm tokea ccm. Je hizo ndo siasa za hoja kwenu ninyi miccm?? cdm tunaweza kujenga hoja, vurugu mkizingua tumo ila utulivu ndo jadi yetu. Tuchokozeni tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.