mzee pole sana,bora twende zetu tanga,arusha ukarimu ni bidhaa adimu sana nimeamini unaweza kupata tanzanite kirahisi kuriko mtu wa kukutoa upwekee!!kweli jamani wageni hamtukarimu???
Erotica SIO MANENO YA FARAJA HAYO KABISA NAONA UNATUKANA MAMBO KABLA HUJAVUKA MTO..WE HUJUI WAPWEKE NDIO WANAJUA KUJALI??HIYO SIO DISQUALIFICATION KABISA,JARIBU UONE UKARIMU WANGU EROTICA.
reta vipi tena kashifa hizo?mi niko serious..na nimefikia hotel kubwa na ya hazi ya nyota kadhaa..sio mbabaishaji kabisa,nilitegemea humu na ndugu zangu wa jf watanielewa..leo nashida mmanitupa.nashukuru preta dunia duara lakini kumbuka.
Jamani binti mrembo uliyepo hapa arusha ni pm tafadhari upweke unanimaliza...nimehamia hapa kikazi na niko hotelini tu..karibu japo tubadilishane mawazo na kupata kinywaji kwa muda..ni hilo tu wana familia wa jf arusha.
Ndugu yangu kama unashida na kazi hutaangalia hayo,wengi tuliappl-apply kwa e-mail hizo hizo na tukapata kazi au otherwise tumia P.o.Box iko hapo wameweka.
Mi pia na firm na website pia but najua matatizo ya e-mail account the website zetu na jinsi sevice providers wengi connection ilivyo down.
A CONSULTING FIRM IS URGENTLY LOOKING FOR AN EXPERIENCED LOG DESIGNER TO DESIGN IT A LOG
KINDLY SEND US YOUR DETAILS INCLUDING YOUR PREVIOUS LOG DESIGN AND PRICES AT president2003tz@yahoo.com 0r call 0653 07 59 49
Nimesoma vizuri makala ya hapo juu na nimeona nitoe mchango wangu mchache.kifupi nazani mdau hana ufahamu mzuri sana kuhusu historia ya ya uongozi na utendaji wa dr kigwangala.
Kifupi katika viongozi vijana wachache na wenye nia ya dhati ya kuwasaidi vijana(bila kujali masilahi binafsi),dr...
Najua baadhi wako wapi,mr.mbao alishastaafu anakaa tabata dar,mr tende alikua headmaster wa shule moja mbeya,nelkon alishafariki miaka kadhaa iliopita,prof utunguru ni mwalimu msoma na sotta sijui yuko wapi kwa sasa ila last time alikua president wa serikali ya wanafunzi pale mzumbe university
mkuu hata mimi ndio walichofanya,halafu bahati mbaya zaidi msg yenyewe inatoa ujumbe wa uongo kuhusu whitney na wamecopy huo ujumbe kutoka mtaandaoni na wao wanamamlaka yapi ya kisheria kutoa taarifa ya sababu ya kifo cha mtu?
mdau nitakupm nikupe maelezo,ahsante sana kwa kuniunga mkono na wengine wote wenye ushaidi tuungane tufanye kitu kikubwa,nazani hawa Tigo hawajasikia kuna kampuni y asimu ililipiswa mamilion kwa kudanganya tu wateja uwezo wa mtandao kufikisha mawasiliano kwa haraka.lazima tufanye kitu kwani njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.