Please i need help on this question concerning our Constitution,"According to the classification of Constitution, what is the classification of constitution are we practicing? is it Federal,Unitary,Republic,Presidential,parliamentary,supreme?
Please if you wish to elaborate to me more,sent to...
Afadhali yako kaka, Mie sijawahi kupiga kura Neither CMM nor Upinzania,Ila najipanga mwakani,piga ua Lazima upande wangu itashinda.
Ushauri wangu kwako ni "kukata tamaa ni sawa na kusema Mungu hayupo" Keep trying may be one day upande wako itashinda.
WATU watatu, akiwamo mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari ya Azania, jijini Dar es Salaam wamekamatwa wakiwafanyia mitihani wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), wanaosoma ngazi ya stashahada ya juu pamoja na shahada.
Hii ni aibu kubwa kwa wanafunzi wetu wa...
JOB APPLICATION I am apply to my job of security guard to you boss in you company of Shoprite. I complete to Grade 8 examination certificate in 1997.
I am 27 ears to be Born of age and no mallied and no childish.
My father is dead long time ago and my mother mary in Zaire...
Afadhali ya Kanumba, kwani hawa vijana wetu wa shule za kata, ndio usiseme kabisa, itafika mahala mtaona kiingereza ya kanumba bora kuliko.
Nahofia, kwa kasi hii ya shule za kata zisizo na uhakika wa walimu bora, itafika mahali tutakuja kuiona barua hiyo hapo juu ina afadhali...
SI loriondo ni LOLIONDO wilaya ya Ngorongoro mkoa wa Arusha,Ni kweli cm za vganja hubadil dsplay na kuandika ''sasa unaingia falme za kiarabu, karibu falme za kiarabu''.lakini si kote liliondo,maeneo karibu na Kijiji cha OLOLOSOKWAN kuna maeneo hapo utapata mtandao wa huu,Na kuna kampuni ya...
Hello jamiiforum!
Sijui ni uwelewa wangu mdogo au kuna wizi unaoendelea katika Vyuo vikuu nchini, yaani hii ni too much primitive accumulation,"WIZI MTUPU". Ni jambo la kushangaa ambalo alingii akilini, Mtanisamehe kama nimepotoka,Wanafunzi walio hitimu masomo mwaka huu(kidato cha sita)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.