Kwa taarifa yako, mara baada ya kuhamishwa wabaya wake waliendelea kusaini deal alizookataa kusaini, je wajua nini liliwapata? Kamuulize Mramba na Yona .... wanafahamu.
Kila mtu ana uhuru wa kufikiri na kuamini atakalo, katiba inampa kila mtu uhuru huo. Kwa lile la Patrick Rutabanzibwa nashauri wale wanaomsema vibaya wajiulize yafuatayo: kama yeye alikuwa kikwazo alikokuwa nafanya kazi mbona hatukuwahi kusikia mgomo wa wafanyakazi? Mbona hakuwahi kupitishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.