Search results

  1. V

    OLAMS Website is not secure

    Make no mistake, anyone can change your OLAMS password and access your private data provided one has your phone number + form 4 index number. HESLB should do something about this ASAP
  2. V

    Kuhusu malipo ya kodi ya Acacia

    "Hata hivyo, pamoja na Acacia kuanza kulipa kodi, inaidai Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dola za Marekani 120 milioni (zaidi ya Sh240 bilioni za sasa) ikiwa ni malimbikizo ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT). Akijibu maswali ya mwandishi wa habari hizi kuhusu utaratibu wa kampuni hiyo kulipa...
  3. V

    Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

    Imeandikwa 'acheni wafu wawazike wafu wnzao'
  4. V

    List of shame yaondolewa kwenye tovuti ya CHADEMA

    Hili swali huwa najiuliza sana, Naamini mtu aliyrsamehewa kwenye hiyo list ni mheshimiwa namba 9 yaan i mgombea wetu mtukufu. Sasa hao wengine vipi, ina maana na wao wametakaswa pia? Au na wao walihojiwa kama namba 9? Au nao pia wako UKAWA kimya kimya? Ikitokea namba 9 kashinda, je...
  5. V

    Kabla ya kumpigia kura yeyote, soma hapa kwanza

    Uzi mzuri. UKAWA wote wasome hapa
  6. V

    Utafiti wa TADIP Urais 2015 wampa ushindi Lowassa kwa 54.5% dhidi ya Magufuli (40%)

    CCM will continue to f*** u for the next 10 years.. And Dr. Magufuli will be leading us, ur f***ers.. Sorry. It is the truth
  7. V

    Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Kujua kuongea kidhungu sio sifa ni utumwa fulan tuu.. Ndo maana kuna matranslator.. Hata ivo siasa za nje sio kiiengereza tu kuna kichina, kirusi, kiarabu, kifaransa ss nan anavijua vyote hivo. Lowassa au ?? Acheni #ulofa
  8. V

    Mfanyakazi, utaweza kumudu gharama za maisha kwa mshahara huu?

    Hata umuweke Lowassa, Slaa au mboewe siku zote huwezikuendelea kwa kutegemea mshahara wako uo wa kima cha chini.. ChekechA akili #mabadilikoNiWewe
  9. V

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Kikwete: Ukitaka kula na we lazima uliweee.😡😡😕 Makinda: Wanawake tulikuwa hatufiki kileleni JK katufikishaaa....😍 Magufuli: Jamani sintowaangusha kwani MBELE natosha NYUMA natosha. 😂 Mwenye nyingine aongeze, I'm out...
  10. V

    Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali

    Tuhuma ya kwanza ni kumiliki kadi ya uanachama wa CCM. Nyingine kama zipo nimemsamehe. Over
  11. V

    Kamusi ya kiswahili-kiingereza

    Msaada kwa mdau yeyote mwenye kamusi softcopy either pdf format au link ya page yenye translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza. Kwa ufupi Swahili - English dictionary. Thanks in advance
  12. V

    Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

    hivi mradi huu umeajiri mainjinia wangapi wa Tanzania...???
  13. V

    Je! nitaweza kusoma MSc. in Structural Engineering

    Habari zenu wakuu.. Nahitaji nmsaada kuhusu hili: Eti kwa mfano mtu first degree umesoma Bachelor of Science in Telecommunication Engineering je kuna uwezekano wa mtu huyu postgraduate kusoma Masters of Science in Structural Engineering au Highway Engineering katika chuo chochote. Naomba...
  14. V

    Android app ya Methali za Kiswahili

    Need your feedback ppo..( https://www.dropbox.com/s/wh5yf2coyt3yk0q/Swahili.apk)
  15. V

    Msaada kwa ajili ya chuo na kozi. Form four leaver

    Wakuu nina mdogo wangu. Naamini na nyie mna wadogo au ndugu zenu. Amemaliza form four mwaka jana.. Amepata div III point 28 alisoma arts. Naulizia vyuo na kozi nzuri anayoweza kusoma koz kwenda Advance yeye hawezi na anaona chuo ni option nzuri na iliyobaki. Nawasilisha.
  16. V

    BSc in computer science

    Haa 180,000?? labda US DOLLARS.. Acha upotoshaji ww!!!!!!
Back
Top Bottom