Nimejionea hali ilivyo Rombo kupitia report maalum Itv, Hali ni mbaya akina mama wanalalamika hawapati huduma, uzalishaji mali kwa wanaume ni mdogo sana kwa sababu ya ulevi wa pombe za kienyeji!rai yangu vyombo husika vichukue hatua kali za kisheria dhidi ya hawa watengenezaji. Lasivyo hili ni...
Kwa wale tuliofanya Usaili wa Human Resources Officers na Adiministrative Officers tar. 4 na 5 April Tume ya utumishi wa mahakama national stadium tukutane kwenye uzi huu tupeane updates. Ni wiki ya pili sasa hawa jamaa bado wapo kimya! Lini wanatoa majibu?? Mwenye taarifa tafadhal
Salam kwenu wanajamvi, ni mwezi na zaidi sasa toka oral intervw ya kada mbali mbali za Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tz ifanyike kupitia Psrs. Kimya kimezidi jamani.Mwenye update naomba atujuze
Website wanayo, kwa nn wasiweke majina hapo waziwazi, waliofanikiwa wajione na waliokosa wajijue. Kwa nn wanafanya kwa usitsiti? Kuna jambo hapa si bure!
wewe ni wa kupuuzwa kabisa. Kwenye maslai ya taifa tofauti zinawekwa pembeni asha mawazo mgando pumbavu zako. Pongezi kwa mbowe na wote waliojitoa kwenye genge la kutetea majambazi
Kama muumini wa R.C, Michango yote kwa ajili ya maendeleo ya kanisa, hupitia kwenye njia zinazoeleweka kulingana na Taratibu za kanisa Katoliki lilivyojiwekea. Hakuna pesa za kanisa zinaeopitia acc. Ya padri wala Askofu. Michango hupitia acc ya kigango, Parokia au acc. Ya jimbo endapo mchango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.