Samia aliikuta nchi imefilisika, watu wameporwa pesa zao, wengine wamewekwa ndani kiuonevu, bureaus wamenyang'anywa dollars zao, wafadhili wamekataa kutoa misaada na nchi inetengwa. Tulijazwa propaganda eti tunajenga kwa pesa zetu kumbe mikopo umiza. Anitajie mtu mradi uliojengwa kwa pesa zetu...
Kwani Magufuli alikufa kwa utata gani?.wakati tuliambiwa alikufa kwa maradhi ya mfumo wa umeme mwilini?!! Utata ulitoka wapi?
Labda iundwe kuchunguza kifo cha mkapa alikufa ghafla
Wavaa makobazi mlianza kugombana urithi wa nabii wenu ambae alikufa kufa bila kuacha urithi na ndo mkafarakana wengine wakamfuata abu bakar wengine imamu hussein acheni kusingizia wayahudi kwenye maujinga yenu.
Kama myahudi alianzisha Shia iran asingehangaika kuishambulia Israel
Mkuu nafikiri una shida kidogo ume Count pesa ambazo serikali ime inject kwenye dodoma city development lake kwenye halmashauri ziko frame kama mapato. Ukutaka kujua angalia kwenye kodi ta TRA Dodoma mmefichwa
Mjinga wewe eti mji wa watu wa dini fulani unataka serikali ifanyeje? Mmekalia uvivu na uzembe tu mradi gani mkubwa umepelekwa Arusha?
Tanga haina mradi bomba la mafuta?
Bandari imeboreshwa, stand kubwa mpya.
Arusha haina stand ukumbuke, maendeleo yanafuata patterns. Kuna pulling factors ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.