Mkuu, Hayo magazeti yalifanya hivyo hivyo 95, 2000, 2005? unashangaa nini leo 2010?
Nimekuuliza wameandika kashfa ipi? kuna tofauti kati ya kashfa na ukweli...mathalan, kusema Slaa ni mtaalamu wa kanuni za kanisa siyo kashfa ni ukweli! au siyo. Kusema Slaa amemuacha mke wake na yuko na mke wa...
Kichwa ngumu ndio maana unapigwa mboko uelewe huhitaji mtetezi...na huko kwenye Qur'an uzembe hauhitajiki..dogo..
Hawa walioenda porini walikosa nini mjini? madrasa zote ziko town!
Ama kweli ukristo unakua palipo na wajinga..lakini watu wa mjini (wenye akili) hawawezi kukubali huu ulimbukeni..
Hivi yule hakimu alikuwa ana hukumu kofia au alitakiwa kusimamia haki..hizi shule za st. nuksi yeye anaangalia kofia..
Anyway, tuliwapa siku saba baada ya siku tatu wakamtoa mwananchi wetu...
Mean while, tunashughulikia swala la huyu hakimu anafaa kuwepo mahakamani kwenye chombo cha haki...
Well said Jussa, ukweli utabaki milele lakini chadema watajua kwamba hilo dude ni bovu baada ya uchaguzi...yaani ...nimecheka comment ya aina mkumbo ndio aina viongozi wa chadema tunaotegemea kuwapa nchi..waziri mkumbo ndio anaongea hivyo what a joke!
Chadema bado sana!
Wairan na Waoman ni wawekaezaji kama walivyo wengine kama vile waingereza, wamerakani, wasweden wapo kwa mujibu wa sheria za uwekezaji..kama humpendi mu-irani fanya hivyo hivyo kwa wazungu..usiwe mnafiki mfano:-
Huko Arusha asilimia 70% ya makampuni ya uwindaji wa rasilimali yetu katika...
Mwelekeo huna wewe kwasababu ya uvivu wako, fursa zipo na wenye kutafuta wanaona mafanikio ya serikali ya JK...wewe kama huoni mwelekeo ni kwakuwa mwenyewe huna mwelekeo umekalia kulalamika..nenda kajiunge na Maaskofu na vijiwaraka vya kulalama...
Sasa mbona walipoteza muda, pesa kutaka kusajili chama wakati chadema ilikuwepo tu...watu wengine wapuuzi tu kupoteza muda wa watu..ccj=chadema..what a joke?
JK ni rais bora kuliko marais wote waliopita, hakuna haja ya mjadala wa kum-uondoa ...takwimu za kiuchumi siyo hoja za kina mwanakijiji na ki-waraka waraka ziwekwe kuanzia rais wa kwanza mpaka JK utaona alivyo bora kupita wote..acheni rongo rongo zenu.
Kaua watu kielimu, kaua watu wakati wa operation vijiji (nyumba na mali pamoja na watu walikufa) embu tuondeleeni balaa lenu hapa kama "kumsifia mpelekeni kanisani kwenu" maana nyinyi wehu wakusifia kila mwovu..lol
Hongera Dr. Ramadhani Dau, Alhaj Kimbisa na wengine kwa ubunifu na moyo wenu wa kimaendeleo kwa jamii yetu. yafaa viongozi wengine e.g. Prof. Ndullu, Shio (PPF) muige mfano wa Dr. Dau.
Hofu ya kuipenda zanzibari kinafiki inakufanya ufikirie nadharia ya kujidai unagawa sehemu ya Tanganyika kwao...wazanzibar hawahitaji eneo zaidi ila "Justice"
Uchumi hauongezeki kwa kuongeza eneo la ki-utawala...ila kwa mipango thabiti na watu thabiti ..somo la uchumi limekupita pembeni...
Mbwembwe za chadema uchaguzi 2010..poleni..
Baada ya uchaguzi mlete madiwani wangapi? (sehemu zipi) wabunge wangapi (sehemu zipi)..rais sahau muuza pombe na padre hawawezi kuongoza nchi ya watu wenye akili Tanzania poleni...
Ulitaka aje kukuchotea maji nyumbani kwangu hajafanya chochote! mhhh! analysis zingine bana upupu mtupu
Amefanya mengi sana JK..october election will tell you the truce!..keep on crying
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.