Kwa kweli manase umeongea kwa data sasa huu ndiyo uchambuzi wawatu wanaofikiria yaani ningeweza kubakisha watu wanao stahili kubaki humu JF wewe ungekuwa miongoni mwao lakini wengine hapana duu safi sana
Sioni ubunifu wowote unaofanywa na wabunge katika majimbo yao kuleta maendeleo wakishirikiana na wananchi wao wengine hata kwenda kusalimia jimboni ni matatizo halafu manasema mnawatetea wananchi kwalipi la maana manalolifanya
Nguvu zinazo tumika kushawishi bunge lionekane live zingetumika kuwa saidia wakulima kutafuta masoko ya mazao yao ningeona wabunge wetu ni watu wenye hekima na wana fikilia mbali sana lakini hakuna kitu wanacho kifanya.
Mnaendelea kusifia vitu vya kipuuzi kabisa katika msongamano unao endelea msipo hisha baadhi ya huduma na kusipeleka pembeni ya mji wabongo mnashida sana
Hivi tuna wahisani au tuna wasanii maana nilifikiri kipindi hiki ambacho pesa zao zingesimamiwa vizuri wao ndiyo kwanza wanaleta vikwazo siwaelewi kimsingi kama kweli wana nia njema na sisi wataalamu wa mambo haya tujuzeni
Mnapokaa na kubishana juu ya pesa ambazo wezenu mpaka wakazipitishe mwenye budget zao ndio mpewe msidhani pesa za MCC zipo wahisani siku zote wanatafuta sababu pindi wanapo ona hawana pesa za kutoka kwa kipindi hicho hata miradi kama hii ya MCC ni miongoni mwa miradi ambayo hutengewa pesa...
Mtoa maada sidhani kama unaowezo wa kupamabanua mambo huyu unaye mtaja ndiue aliye kuwa wa kwanza kukubali kwanza kujenga Udom ambapo hata mdogo wako au ndugu yako anasoma kwa mtazamo wangu pamoja nayote uliyoyaonge wewe ni mbinafsi na mchoyo Nina uhakika ukipewa idara ya kusimamia hiwezi
Hivi kuongea kingereza kwa rais kina faida gani hasa au kwa kuwa mlitawaliwa na waingereza ?wanakuja wageni wengi hapa nchini na wanaongea kwa lugha zao sisi tukiongea kiswahili chetu tunajiona feki ni lini tutavikubali vya kwetu watanzania acheni kuwa watumwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.