Wakuu,nimefikiria juu ya wanyama wanaofugwa kwa ajili ya nyama na maziwa. Sijawahi kusikia kuhusu kondoo wa maziwa. Lakini wapo mbuzi wa maziwa na ng'ombe wa maziwa. Maziwa ya kondoo yana shida gani? Naomba kujuzwa
Wakuu, naomba kufahamishwa ni kosa kuwapiga picha askari wakiwa kazini kwa mtu ambaye si mwandishi wa habari? Naomba kujuzwa kama ni kosa sheria inasemaje? Mfano wakati wanamkamata mwizi mtaani, wakituliza vurugu nk. Watu wengi hupenda kupiga picha wakati wa matukio ambazo mara nyingi hawana...
Inanikumbusha nikiwa kwenye pikipiki eneo la kutoka mombo hedaru kwene diversion ilikua imenyesha mvua maji yamejaa nikakutana na basi la harambee likanirushia maji yenye tope hadi helmet ikaziba sikuweza ona mbele. Sikuweza kulipiza kumaliza kujifuta gari ilishatokomea
katoliki nayo dini? Dini gani unatubu dhambi mbele ya binadamu mwenzio. Utabakia kumuabudu papa na mafundisho yake ya uongo. Soma bible acha kukariri vitu kiluturujia.
Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote kwa kila kiumbe,lugha,kabila na jamaa kuwa ushuhuda kwa mataifa yote. Hawa wanvipiga vita vilivyo vyema. Vita ya imani.
hizo ziko kwenye mtaala huwezi kuacha kusoma vinginevyo hutamaliza kozi. Ni sawa kutii mamlaka kwa kua zote hutoka kwa bwana. Inatupasa kumtii zaidi kristo kuliko wanadamu maana mamlaka zote hutoka kwake.
Uhuru wa kuabudu uheshimiwe. Serikali haina dini lakini watu wake wana dini. Msife moyo ndugu UKRISTO NI GHARAMA. Katika kila jaribu kuna mlango wa kutokea. "Heri walio maskini wa roho" kukataliwa, kutengwa, kuonewa hayana budi kuwapata lakini ipo siku bwana atawafuta machozi na ulimwengu mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.