Hivi sasa baadhi ya wabunge nchini wameanza vituko na kuafanya kila wawezalo ili kuona kama wanaweza kuchaguliwa tena.
Licha ya kuwepo wengi lakini yaliyoanza kufanywa na hawa
Balozi Khamisi Kagasheki na Mwanazila ni aibu kwao na CCM wenzangu mnaona ni sawa .ebu jionee
Kagasheki
Mwanazila...
Nimepata taarifa hivi punde kuwa bweni la sekondari kongwe ya wasichana iitwayo Rugambwa iliyoko Bukoba imeungua moto leo saa 7 mchana.
hata hivyo hakuna aliyekufa wala kujreruhiwa,ingawa magodoro na mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea kwa moto.
kikubwa ni kuwa wanafunzi wamelazimika...
Wakuu,Nimepokea taarifa muda mfupi kutoka Bukoba kuwa kumetokea ugomvi katika kikao cha kamati ya siasa ya wilaya ya Bukoba cha CCM ambapo kagasheki ambaye ni mbunge wa huko na naibu waziri wa mambio ya ndani amevaana live na katibu wa CCM wa wilaya hiyo aitwaye Shamte.
Sababu ya viongozi hao...
aliyepiga picha ya mzee huyo,auwekee picha ya nyumba yake tuone ili tulinanishe,mimi nafikiri ni sawa,sasa kama mtu alikuwa na ibanda cha nyasi unafikiri alipwe kiasi gani
Sioni mantiki ya post hii kutolewa na gazeti la mwananchi kwani gazeti hili ni moja ya vyombo vya habari visibyolipa mishahara ya wafanyakazi wao.
ebu fikiria gazeti linaingiza mapato ya shj milini 11 kwa siku kisha mwandishi wao analipwa sh 60,000 kwa mwezi kisha wanaandika habari kama hiyo...
Post iliyowekwa ina ukweli fulani,kwani mimi nafanya kazi katika wizara hiyo ni kuwa kikao hicho kilifanyika siku kumi kabla ya hukumu hiyo lakini hapakuwepo jaji wal halkimu,alikuqwepo katibu mkuu wa wizara,IGP,Mawaziri eote na watendaji wengine wa wizara hiyo na kutoka jeshi la polisi.
lengo...
Siyo dina wa clouds ni dina wa kampuni ya dina fashion mama hivi mnene yahani ni jimama haswa lakini siyo wa Clouds.
na taarifa nilizopata hivi sasa ni kuwa ilikuwa ni mara yake ya kwanza kwa mama huyu kufanya tamasha hilo katika mkoa wa kagera.
We mzee Punch nafikiri umetumwakatika tasnia ya habari mtu aliyetajwa kwenye habari tena akihusishwa na tuhuma kama Spika wako 6 si lazima kile alichojitetea ukichukulie kama ndiyo ukweli wenyewe.we sema wazi kwamba umetumwa au una ugomvi na wahariri tajwa kwani kwa mtu anayefuatilia vyomvo vya...
Huo ndiyo utendaji wa kazi kwa mashirika ya serikali ya tanzania.Rai hapa ni kwa vyombo vya habari kwani mimi naona shida kuamini kuwa ni lazima vyombo vya habari vipate habari kama hizo baada ya msako hivi wao hawezi kufanya uchunguzi na kutupatia news?afadhari umeongea dar,je kule...
Wakuu,
naleta kwenu mada hii kwa nia njema kabisa kuhusiana na wenzetu walioko nje ya Tanzania ambao ni member hapa JF.
Nimekuwa nikisoma post zao na michango kadhaa kuhusiana na masuala mbalimbali kwa maendeo yetu,wao,taifa letu nk lakini nimegundua kuwa jamaa hawa hawatusaidii sana...
Ndugu,Nimekuwa nafuatilia vyombo mbalimbali vya kimataifa ikiwemo BBC,Aljazeera,CNN na Press TV wao wanasema kuwa ugonjwa wa mafua ya nguruwe HAUNEZWI na wanyama hao na kwamba hakuna nguruwe hata mmoja aliyekwisha kufa kutokana na ugonjwa huo,ingawa katika kueleza ugonjwa huo kwenye TV wanatumia...
WOTE WANAOTETEA MAHAKAMA YA KADHI JIBU MASAWALI HAYA KWA KUWEKA NDIYO AU HAPANA. (1) Mahakama ya kadhi inaweza kuendeshwa bila gharama za Serikali . (2)Katika Mahakama ya kadhi wasio waislam hawataruhusiwa kuhudumu. (3)Mahakama ya kadhi ni suala linalotakiwa kuendeshwa na wasialam...
Hoja hii imejadiliwa vya kutosha katika eneo hili,kuhusu wasialam kugagania kadhi huku wakitambua kuwa wanataka ajira.Swali ,Hivi nyinyi waislam hamuwezi kuanzisha hiyo mahakama yenu bila kuihusisha Serikali? au hamna mtaji.Mnataka kadhi alipwe fedha za walipa kodi ambao siyo waislam,hivi vitu...
Hivi mmekwisha note utapeli katika benki hii hasa katika charges wanazotoza kwa wateja hasa wenye kadi za VISA.
ukitaka kujua wizi huu,jaribu kuomba taarifa fupi ya account yako utashangaa kuona yafuatayo
ATM charge.........350/=
ATM Monthly Charge......350/=...
Nadhan ulimaanisha kuwasilisha,siyo kuwakilisha,ebu tujaribu kutumia kiswahili fasaha.
Dialo si lolote si chochote kwani alipokuwa bosi wa wizara ya Maliasili na utalii aliendesha operation ya kuondoa wavuvi haramu lakini alipozama na bot akielekea ukerewe aliokolewa na wavuvi hao hao...
Tena,kuna kitu akijaandikwa
Ni kuwa katika uendeshaji wa mahakama ya kadhi yale masuala ya ugomvi kati ya wenye dini hiyo na waumini tofauti na wao yatakuwa yakipelekwa kwenye mahakama hizo badala ya kufikishwa katika mahakama za kiaserikali.
mfano.
(1)Musa akivunja ndoa ya james...
Ngoja afukuzwe maana huyu mama kwa wasio mjua vizuri ni mtu mwenye tanbia ya kukomba wafanyakazi kila anapokuwa na madaraka katika media house yoyote mfano
Alipokuwa Mhariri wa the express aliondoka na wafanyakazi kibao kwenda katika ajira yake mpya atika gazeti la The Sunday Citizen na baada...
Wakuu,
Leo na sasa hivi mzee wa anga na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yupo Mjini Bukoba akiendesha operation ya kufungua matawi na kufunga bendera katika maeneo ambayo awali wenye kumiliki maeneo hayo walikuwa wana CUF.
Hadi sasa hivi nipo hapa kwenye cafe na nje pamefurika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.