Search results

  1. S

    Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

    Hamza Johari ni expert katika international laws. Hutumika sana na serikali inapotatizwa na masuala ya sheria za kimataifa. Htata wakati wa mzozo wa ziwa Nyasa kuhusu mpaka na Malawi aliitwa kushauri kama alivyotumika kwenye hili la bandar.
  2. S

    Protase Rugambwa: Askofu Mwandamizi Anayeripoti Kituo chake cha Kazi Jimboni Tabora 25 Juni 2023

    Wewe ndiye mbumbumbu hujui mambo ya Roma, Nafasi za Roma kama hiyo muda wake ni miaka kumi tu wanapewa wengine. Pambafu.
  3. S

    Mahamud Zuberi wa Azam TV anavyoharibu kipindi cha Sports AM

    Mahamud Zuberi ndiye anayeendesha kipindi ambapo ni kipindi mahsusi kwa wachezaji wa zamami kueleza historia yao mpira hadi wakaibuka kuwa maarufu. Hivyo, watazamaji tunakuwa na hamu ya kumsikia mchezaji anachosema. Hivyo, tungetarajia muda mwingi autumie mchezaji kuongea yeye atumie muda...
  4. S

    Hivi mbona zamani tulisikia neno ma-auditor lakini neno CAG halikulisikia kabisa?

    Wakuu JF nielezeni na nifafanulieni, Miaka kama 20 iliyopita wahasibu wa maofisini walikuwa wanaogopa sana ma-auditor. Lakini woga uliishia kwao tu. Hatukuwa tunajadili kabisa suala la CAG na kwa kweli hicho cheo binafsi nilikuwa hata sikijui. Hivi kumetokea nini hadi leo nchi nzima...
  5. S

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Katekism hajasema hivyo. Katekism inamuagiza kila mmoja akamtangaze Kristo.
  6. S

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Usidhani kanisa katoliki ni mapadre tu na maaskofu na masista. Kanisa ni pamoja na wewe yaani kila aliyebatizwa na hivyo kila mmoja ana duty ya kulilinda kanisa. Hivyo mjibu huyo muhubiri usisubiri askofu au padre.
  7. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Acha Samia aongoze, endelea kukumbuka nyimbo na pambio zako za kujikomba wakati wa tawala zilizopita.
  8. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Suala la kuteuliwa umelileta mwenyewe hivyo baba matokeo yake. Kubali kwamba Magufuli mliyembia hayuko tena sasa kuna Samia.
  9. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Mwenzako Prof. Nkoma aliteuliwa kuwa DG akiwa abroad. Hoja usiyoweza kuijibu ni kitendo chako cha kusifiasifia serikali kabla ya kifo cha Magufuli na sasa kupondaponda baada ya Samia kutawala. Usingebadilika kama kinyonga nisingehangaika na wewe.
  10. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Lutoteuliwa ndiko kunakokufanya ulaumulaumu wakati miaka miwili iliyopita ulikuwa mtu wa kusifiasifia kama mwezako Kabudi, amaye naye sasa hasikiki tena, hatumbui macho tena.
  11. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Ungekuwa huna njaa usingehangaika huku mitandaoni. Wezako FOE huwasikii huku. Manyahi alipoondolewa TANESCO hatusikii kelele kama zako. Dr. Yonnah alipoondolewa wizarani hatukusikia kelele kama zako. Mwache Samia aongoze kulialia hakukusaidi, mlimaliza zamu yenu kwenye CCM ile iliyokupeleka UN.
  12. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Mama hajakups kitengo nini? Mwenzako Manyahi ni mkurugenzi wa BICO anaendelea kusifia japo si mitandaoni. Mwenzako Kyaruzi ni consultant TANESCO. Mwenzako Dr. Yoonah yku Mandela University na mke wake ni DG wa NBC. Sasa kama umeanza kulalama na kuiponda serkali kama sisi tunavyoiponda basi...
  13. S

    UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

    Ama kweli mambo yamebadilika na JPM hayuko tena duniani. Hadi wewe Kichuguu tunayekufahamu mtetezi wa kila jambo la serikali leo unalalamika! Inashangaza sana.
  14. S

    Mitihani ya Mock isitungwe kiholela wakati syllabus haijaisha

    Tunarudi kulekule. Utandawazi uko kote na ulianzia huko Ulaya ambako hawafanyi kama hawa walimu wazembe. Hata ratiba zako ulizobandika kwenye notice board hazionyesji unachosema zinaonyesha kuwa watoto wana activities nyingine wanalala saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi masomk yanaanza saa 0750...
  15. S

    Mitihani ya Mock isitungwe kiholela wakati syllabus haijaisha

    Ndiyo maana nasema mwalimu huyo ni mbumbumbu maana hawezi kufaulisha shule za day.
  16. S

    Mitihani ya Mock isitungwe kiholela wakati syllabus haijaisha

    Hakuna cha miaka au lolote. Shule za day zilikuwepo miaka yote na zipo duniani kote. Ni uzembe tu wa walimu kutojua kutumia muda wao wa dakika 40 darasani.
  17. S

    Mitihani ya Mock isitungwe kiholela wakati syllabus haijaisha

    Hujajibu hoja kwa sababu huujui ukweli unang'ang'ania masuala ya msimamo wa kanisa. Msimamo wa sheria ni ovrtime kulipwa kama huwezi wekeza nchi nyingine siyo Tanzania. Huelezi mfumo wako utawezekanaje kwa shuke za days. Hivyo, shule hizi hazina walimu bora ni ubabaishaji.
Back
Top Bottom