Search results

  1. L

    Waziri Mhagama: Hatupendezwi kutuita Mawaziri ni wanafiki

    Huyu mama akafundishe huko, kwann alikimbia ualimu ?
  2. L

    Mwenyekiti mstaafu UVCCM Tandahimba Fadhili hongera sana, vijana wajifunze kutoka kwako

    Mwenyekiti mstaafu UVCCM Tandahimba Mr. Fadhili hongera sana, vijana wajifunze kutoka kwako. Umeamua kukaa pembeni kwenye Siasa, Sasa umeamua kuwekeza katika kuwahudumia watu kwa vitendo, hongera sana.
  3. L

    Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

    Mwl.Ole Mushi-Afisa elimu hai na kada wa CCM ,Ni kweli alilishwa sumu Alilazwa kcmc hospital ,na Sasa kahamishiwa dar,! #CCM HOYEEEEEEEEEEEE
  4. L

    Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu Sumbawanga Manispaa

    Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu sumbawanga Manispaa na wengine. Akiwamo Engineer na Afisa Manunuzi kwa matumizi mabaya ya pesa za miradi. ===== Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amemuelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuwasimamisha kazi aliyekuwa Mganga Mkuu wa Manispaa...
  5. L

    RECORDS: Tutajie Wanajamii Forums Maarufu na Wakongwe Uliowakuta Humu

    Mbona Mimi Lugano5 hamnitaji? Hahahahahah
  6. L

    Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

    Mada shinyanga main body singida, Acha uongo
  7. L

    Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Tangu Maharage aepuliwe, Leo Umeme umekatika Mara 2 tu, hongera sana CEO mpya Umeañza vizuri Naamini kesho hautakatika.
  8. L

    Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

    Mshana ebu kuwa wazi, Ubora unaozungumzia Ni wa YouTube au? Na hizo huduma za kiserikali,Ni huduma ipi ambayo 3G inagoma na 4G inakubali?
  9. L

    Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

    Mshana Salaam, Unakosa mengi kivipi?
  10. L

    DED Uvinza asimamishwa kazi na Waziri Mkuu kwa kuchelewesha miradi ya Serikali

    Kfuatia maelekezo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa ya kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma Zainab Mbunda na Mwekahazina wa Halmashauri hiyo Majid Mabanga, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali...
  11. L

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Rais Samia turudishie Makamba, mgao umeme umekuwa Too much! Tunateseka Sana.
  12. L

    Yanayojiri kwenye Mkutano wa Rais Samia, Tandahimba

    Karibuni katika mkutano mkubwa wa Rais Samia hapa Tandahimba Picha inaongea mengi Sana hii
  13. L

    Haya hapa majina ya ajira Mpya za Afya Septemba 2023

    Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha maombi katika kipindi cha mwezi wa April, 2023 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi umekamilika kwa awamu ya tatu. Awamu hii ni kwa...
  14. L

    Tatizo la subwoofer kuvibrate na kutikisa nyuma linasoviwaje

    Wakuu kwema? Tatizo la subwoofer kuvibrate na kutikisa nyuma linasoviwaje? Unaweza kuta unasikiliza vizuri tu, baada ya muda inatokea bass Fulani,ambayo inatikisa nyumba
  15. L

    Wakuu, naomba akili ya biashara, pesa ninayo na sijui Cha kuifanyia

    Wakuu, naomba akili ya biashara,pesa ninayo na sijui Cha kuifanyia.(nimebet nimepiga mpunga) Location: Lindi In cash: Mil 3
Back
Top Bottom