Sasa mbona kila kukicha mambo hayaishi ee MOLA tunusuru na haya majanga bola mimi cna chama nasubiri katiba mpya ipitishe kipengele cha mgombea binafsi.
Nimala ya kwanza kujiunga jamii forum hivyo nawasalimia wana jf wenzangu nakuwatakia jumapili njema kwa wale wakristo mlioko dar fkeni hapo jangwani kwenye mkutano wa dk c.mwakasege,wengine tuendelee kutenda yaliyo mema mbele za MUNGU wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.