Mkuu Sangarara twashukuru kwa update za mjengon kweli ma-ccm hawajielewi nini cha kufanya wanapokuwa mjengoni maana wanaunga hoja kitu chenye mapungufu
IV 42,43,45 wamewekewa wale waliopata alama C mpaka A angalau katka somo moja lakn kwa wale waliopata div 0 42,43,44 mpaka 49 wameshindwa kupata alama C mpaka A angalau somo moja ni uchunguz wang nilioufanya aisee kwa maana nyingne wamepata bonus
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.