Search results

  1. A

    Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

    Hao Mabalozi wa Ulaya hawawezi kilazimisha Serekali kuvunja Sheria zake. Watakachofanya ni kutoa Tamko la kidplomasia, watajiweka katikati bila kufungamana na upande wowote. Hili ni Swala la Ndani ya nchi, na Maamuzi yake yataisia ndani ya nchi sio from Foreign Powers.
  2. A

    Shamba la Bibi:Chinese Convicted for Mining in Game Reserve

    Kuna haja ya kukaza kamba na kuitumia Sheria kujaribu kupunguza Uharamia dhidi ya RASILMALI zetu. Hongera kwa Vyombo vya Dola na wale wote waliohusika na Kampeni ya kuokoa Eneo hilo. Tunaiomba Serekali kuu ihamasishe Wananchi juu ya umuhimu wa Ulinzi wa RASILIMALI zetu.
  3. A

    Wazanzibari ni jamii yenye asili na ustaarabu mseto (cosmopolitan) na sio jamii ya kibantu

    WAZANZIBARI NI JAMII YENYE ASILI NA USTAARABU MSETO (COSMOPOLITAN SOCIETY) NA SIO JAMII YA KIBANTU (KIAFRIKA)Na pia si jamii ya KIARABU!!
  4. A

    ‘Govt should stop threatening journalists’ – Kubenea

    Mfumo mbovu hufanyiwa Marekebisho na ndio maana tumebaini kuwa baada ya miaka 50 unahitaji marekebisho, hivyo tuko na mchakato wa Katiba mpya. Ili kusiwe na Rabsha ndio maana tuna mipangilio ya Kazi, na kazi nyingine hazihitaji kuingiliwa, inakuwa ni kinyume cha Sheria kwa Mhariri/Mwandishi...
  5. A

    ‘Govt should stop threatening journalists’ – Kubenea

    Mfumo mbovu hufanyiwa Marekebisho na ndio maana tumebaini kuwa baada ya miaka 50 unahitaji marekebisho, hivyo tuko na mchakato wa Katiba mpya. Ili kusiwe na Rabsha ndio maana tuna mipangilio ya Kazi, na kazi nyingine hazihitaji kuingiliwa, inakuwa ni kinyume cha Sheria kwa Mhariri/Mwandishi wa...
  6. A

    ‘Govt should stop threatening journalists’ – Kubenea

    Mkuu hakuna anaezuiwa kuandika wala kuzungumza, Mmepewa Uhuru mpana ambao hata juzi tu kwa Awamu ya Mkapa hamkuwa nao. Kwahiyo kuna Haja na Ulazima kuutumia vizuri na kwa Busara. Kuwa Journalist haimaanishi your Everything na unaweza kuandika chochote, Wakati wowote na Uingilie kazi ambazo si...
  7. A

    ‘Govt should stop threatening journalists’ – Kubenea

    Kubenea: MAGAZETI na WAHARIRI wake hawawezi kuoiongoza Serekali, si Serekali ya Tanzania au nyingine yeyote Duniani itakayokubali Ujinga Huo, aidha inaendeshwa Kidemokrasia au La. Demokrasia isiwe visingizio vya kuvuja Sheria.
  8. A

    Jamani Hali ya Zanzibar na Muungano si Shwari

    Kwa kutumia Mabango, waendelee watakavyo, vurugu na matusi ya rejareja hatutaki na hiyo hadithi ya maili 40 ni ngano za Abunuwasi.
  9. A

    TUHUMA nzito kwa UWT/TISS; CHADEMA yabaini njama nzito kumaliza viongozi wake

    Mkuu CCM-mama: Ridhiwani/Riz one bado ni Bw. Mdogo sana, hana Ubavu wa kumwamuru mtu yeyote, afanye lolote kwa Kutumia Mwamvuli wa Babayake, wala hana ubavu wa kichama CCM wa kuweza kugeuza Sera au hata kushawishi. Labda unamsikia na kuona akiongelewa na vyombo vya Habari na anapozushiwa kafanya...
  10. A

    Maskini JK namuonea huruma!

    Umemwelewa Baky.? Anakwambia Uvundo wa miaka 35 kuusafisha ndani ya miaka 6 ni jambo lisilowezekana kwa kifupi nyie watu hamrizon, mnaongea tu mradi mdomo ni nyumba ya Maneno!!
  11. A

    Na Sisi tuwasusie madaktari kuwapa huduma

    Inasikitisha sana kuwaona Madaktari wetu Wanajiweka katika nafasi ya kuwa Miungu watu kwa kuwasaliti Wananchi wenzao. Haiwezekani kuwa Ninyi ndio wenye Shida na mnalipwa haba kuliko fani nyingine, huo wenu ni UROHO, TAMAA, TABIA MBAYA, WIVU, UJINGA na kuelimika kulikowavua USTAARABU, kwa msemo...
  12. A

    Tutashiriki mchakato wa katiba – Uamsho

    Nilisema hapo awali kuwa kukosa kujipanga (Organisation) mara nyingi kumezigharimu Harakati zinazoendeshwa na Waislam, na hii sio Zanzibar au Tanganyika tu ni Dunia Nzima. Na ndio maana Akili zao zimeweza kuchezewa na kugeuzwa Wakati wote na Saa yeyote. Huu wa Uamsho ni mfano mwingine. Walikuja...
  13. A

    Ahmed Rajab: Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

    Hizi fitna za ‘Upemba’ na ‘Uunguja’, za ‘ubwana’ na ‘utwana’ na za ‘ugaidi’ wa Uamsho ni fitna zinazotiwa na watu walio maluuni. Lengo lao kubwa ni kuwapotosha Wazanzibari wauzime mjadala wa Muungano. Hawajali iwapo watalitimiza lengo hilo kwa kuyakiuka maadili ya uongozi au ya uandishi...
  14. A

    Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar

    Kama Hoja hizo za Shekh zina Mshiko wangetumia taratibu zilizopo kuwasilisha hoja hizo. Lakini walijua na wanajua katika vikao Halali hoja hizo hazitafua Dafu. Ndio maana Wakaingia na Mkwara wa kuhamasisha Watu kwa mapambano na Ikibidi hata Ugaidi utumike (Fuatilia vizuri kanda zao za mihadhara)...
  15. A

    Mahojiano Ya Mwandishi Jackton Manyerere Na Wana- Uamsho Zanzibar

    Farid aliehojiwa ndie yule Aliekuwa akiwahamasisha Wafuasi Wake KUFA kwa ahadi ya kwenda PEPONI? Na sasa anaongea Asali..........................Kumbe taratibu unazifahamu? Halafu kuna Vijana wa Watu mkawadhamini haraka tena..............Ebooo!!
  16. A

    Waunguja wawabagua Wapemba

    Ili Ujumbe wake ulete maana Aliyoikusudia.
  17. A

    Wakristo musituvuruge Wz'bar agenda ni siasa kuhusu Muungano na sio dini mutakosa .

    Sanga malua: Unamkusudia nani? SEIF SHARIF HAMADI? au mwingine? hapa ni JF bwana hatubani, toa linalokukera tukikosea tunasawazishana tu, tena kistarabu.
  18. A

    Is Zitto Kabwe naive or a dangerous populist?

    Mwakalinga: Jibu la swali lako utalipata kwenye mihadhara ya hawa Jamaa Ingia mzalendo.net. Utakachohitaji ni muda wa kusikiiliza.
  19. A

    Uamsho wakana kuhusika na vurugu za Zanzibar

    " UAMSHO wageuka ULALISHO" Chuvi nyingi na upotoshaji wa Historia, Visingizio Matusi Vitisho na Majigambo: Wababe wawili FARIDI na AZANI mambo yalipojiri Wakaingia mitini. Ebo!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Imekuwajevooooooooooooo?????????
  20. A

    Vurugu Zanzibar, makanisa yachomwa moto!

    Mwakalinga; Ingia Mzalendo.net zipo vidio (kama hazijatolewa) za Mihadhara ya hawa waheshimiwa wa UAMSHO. zisikilize kwa Makini UDINI na UBAGUZI unanuka kiasi cha kuleta Kichefuchefu.
Back
Top Bottom