Toka enzi za MV Bukoba hatujawahi kua na boti/meli ya uokoaji kweli? Labda hii kitu itabadilisha mtazamo wa umuhimu wakua nayo maana dah aise hapana. Mungu atupe busara kama nchi kuzingatia hivi vitu kabla hayajatokea.
Ingekuwa nchi ya wenzetu kuna kiongozi angejiuzulu kutokana na maafa ya aina...
Toka enzi za MV Bukoba hatujawahi kua na boti/meli ya uokoaji kweli? Labda hii kitu itabadilisha mtazamo wa umuhimu wakua nayo maana dah aise hapana. Mungu atupe busara kama nchi kuzingatia hivi vitu kabla hayajatokea.
Ingekuwa nchi ya wenzetu kuna kiongozi angejiuzulu kutokana na maafa ya...
71. Right to return of gifts
A suit may be brought for the return of any gift made in contemplation of a marriage which has not been contracted, where the court is satisfied that it was made with the intention on the part of the giver that it should be conditional on the marriage being...
Baada ya msuguano wa #Posho, Bunge letu maalum la Katiba limepoteza karibu wiki nyingine nzima kubishana kuhusu uamuzi wa kuwa na Kura ya Wazi au Kura ya Siri. Tayari wiki mbili zimepita la Bunge la siku 70 (wiki 7) lakini yaliofanyika ni majadiliano ya Posho na hili la kura.Hili linatuonyesha...
Cheki huyu hapa alivyoshughulikiwa... ONYO! Graphic Video.
Naomba msamaha kwa yeyote ambaye VIDEO hii itamkwaza kwa namna moja ama nyingine.
Kuangalia tukio nzima bofya kwenye link hii hapa.
Profesy's Version: Graphic Video: Mwizi wa Side Mirror akipewa kichapo!
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAMKO LA SERIKALI
GAZETI LA MWANAHALISI LAFUNGIWA
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imelifungia kutochapishwa gazeti la MwanaHalisi kuanzia 30 Julai, 2012 kwa muda usiojulikana kutokana na mwenendo wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.