Kigwangala alikuwa anajisahau sana, muda mwingi yupo mitandaoni kubishana; kukejeli na wakati huo huo yeye ni sehemu ya serikali, mbaya zaidi yupo illogical tena ni mzigo kufikiri. Huyo jamaa ashawahi wapigisha push ups maafisa wa jeshi na kuwarusha kichura hadharani. Kigwangala ana matakataka...
Anyways umetumia lugha safi kabisa ambayo ni ya kistaarabu lakini ndani ya andiko lako kuna shida kidogo.
Binafsi naona awamu hii haina dhamira safi kwa wapinzani, kwa sababu matumizi ya nguvu ya vyombo vya dola yamekuwa ni makubwa kuliko hicho kinachoitwa uchochezi.
Serikali hata isemwe...
Kaka kwa mtazamo huo its ok!.
Lakini pia zipo several variables ambazo tayari zinapelekea discouraging investment na tourism in Tz. We don't advertise, we impose higher taxes as well.
Tusimuhukumu Dr. Mwele kwa kuwa muwazi ktk issue hii. We better reduce taxes and add subsidies ktk tourism...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.