Imekuuma ee? usijali wewe pia ni mteja wangu japo una mambo!
Mh, mkuu hao watu wengine ulikutana nao wapi woote wakakuambia hawaoni kuwa hiyo ni fare price!? umejuaje kuwa tatizo lao ni bei tu!? ungejisemea wewe tu matatizo yako, wengine pia wangesema ya kwao, au vipi? Hii ndiyo hekima...
Mzee nashukuru pia,
Ila hizo nyumba nizangu ntazifanya chochote ninachotaka, na maneno uliyosema hapo ni changa moto kwangu. Dunia hii imejaa wakatisha tamaa wengi tangu zamani za kale! lakini ukiwa "hero" siku zote unwaangusha wakatisha tamaa na wanabaki wameshangaa! umewezaje?
Jamani kutokana na hali ya kiuchumi ya dunia nimeamua kurekebisha bei ya zile nyumba zetu. Sasa kila nyumba ni shilingi laki saba za Kitanzania Tzs 700,000/=
Karibuni sana....
Asante mkuu kwa hilo,
Mie ni mjasiliamali, risk ni sehemu ya maisha yangu ingawa nakuwa muangalifu hadi mlango wangu wa sita wa fahamu ili nisipate matatizo au nisimsababishie mwingine matatizo.
Amini usiamini niliposema na watu wengine mashahidi watakuwepo, nilikuwa namaana watu wa JF...
Wewe ni mjasilia mali wa kweli??
Kuna bidhaa nimeianzisha (new product), tayari iko sokoni kwa majaribio na imeanza kufanya vizuri tu, sasa inahitaji nguvu nzito kidogo, peke yangu itachukua muda mrefu kusimama; HIVYO NAFUTA 'PATNA' wa kibiashara.
*Imesajiliwa, na inatengenezwa na mtaalam...
Jamani niseme tu ukweli nimefurahia sana response zenu ni nzuri tu.
Nitumie meseji au nipigie simu yangu iko hapo juu, bei tutaelewana (punguzo lipo) msitie shaka....
Amina, unajua wanadamu wengi tunaakili sana...ila tunazitumia kwa mambo tofauti kabisa yasiyo tuletea tija yoyote maishani...na yanafanikiwa....
Karibu...
Asante kwa kunikaribisha! La Wasukuma hapana sio hivyo, naamini tukiunganisha bongo zetu, lazima pesa zije tu.. mbona baado milango tele iko wazi!! haitumiki kabisa watu tunang'anga'nia mmoja tu!
Karibu....
Usijali tajiri wangu, ntaziweka hizo picha ngoja nishughulikie hilo. Ndugu yangu, hizo ni bora kuliko hata hizo za Masaki!
Kuhusu Mwananyamala kwa 1m, zingekuwa masaki ingekuwa bei maradufu! Hata hivyo hiyo mwananyamala ni ile iliyotulia siyo "Uswazi".......
Narudia kwenye bei mazungumzo yapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.