Ukimjua mtu hata kuelewa hoja zake na kuzijibu inakuwa rahisi sana. Kwa wale wanasaikolojia, ni kwamba kuna wagonjwa wa akili wengi tu mtaani na watu hawawatambui kama ni wagonjwa na wanasumbua watu kweli....
Unajua hawa akina Shonza na waandishi wao wooote ni njaa tu. CCM imefika mwisho inaendelea kufa.... kwa hiyo suala la kuwa na chama kikingine kitakachoshika dola haliepukiki...
Pole sana mkuu.
Ukweli mgonjwa kutumika kufundishia si swala baya ila kuwepo na ruhusa ya mgonjwa. Na kwa uzoefu wangu mara nyingi mgonjwa huombwa kwa mdomo na hakuna form yoyote, na akikataa haitakiwi kumlazimisha. Na kama hakuombwa si sawa ila mgonjwa ana haki ya kusema No. Kingine ni...
Sijuia nina mtazamo tofauti. Binafsi niwatake tuone kuwa haya yote yanatokea ili kuwathibitishia wale ambao bado hawaamini kuwa JK ni dhaifu na CCM ni puuzi. Naelewa adha na shida kubwa ya kijamii na hata kiuchumi kwa matokeo haya. Ila pia thisi is 'eye opener' na hili Jeshi kubwa lililofeli ni...
Je Unajisikia furaha, amani na kuwa salama kwa Tanzania kuchimba madini ya Uranium?
Naomba tupige kura, voting please Moderator may you help to put a vote here, thank you
Wengi mnadhani anaaibishwa Nape ila mimi naona tunamwaibisha Mnyika kwa kumlinganisha na Nape. Nape labda mumlinganishe sijui na diwani mmojwapo wa CUF
SERIKALI IMEWATENDEA MADAKTARI NDIVYO SIVYO: AIBU
Tanzania ni nchi yangu na mimi nimtanzania. Nina mengi moyoni siku ya leo hasa kutokana na timbwilitimbwilinyingi zinazofanywa na watawala wetu au vyombo mbalimbali hapa nchini.Mnamo tarehe 23 mwezi Juni 2012Tanzania iligubikwa na mgomo mkubwa...
SERIKALI IMEWATENDEA MADAKTARI NDIVYO SIVYO: AIBU
Tanzania ni nchi yangu na mimi nimtanzania. Nina mengi moyoni siku ya leo hasa kutokana na timbwilitimbwilinyingi zinazofanywa na watawala wetu au vyombo mbalimbali hapa nchini.Mnamo tarehe 23 mwezi Juni 2012Tanzania iligubikwa na mgomo mkubwa...
Hivi TBC na waandishi wake wanapomuita Lowassa "waziri mkuu mstaafu" ni wazimu au ni utumwa? Maana hata wewe mwandishi wa TBC unapomwita hivyo unajisikiaje? Mnakera kweli!
acha mambo ya ajabu hili si jicho lahuruma ila ni la mahaba, we vipi unadhani serikali ina mahaba na wewe? Halafu hao wabunge ni vimeo hawaelewi wanachosema
Wakiongea kwa mbwembwe wakuu wa wilaya waliotembelea huko wilaya ya Namtumbo Ruvuma na kuwaambia watanzania kuwa hakuna madhara yoyote, Binafsi siwaelewi wao ni wataalamu wa Nishati na Madini hasa Uranium? Binafsi siamini kama tutakuwa salama sana. Kama North Mara tu watu wameathirika na maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.