Unamuomba radhi kwa kosa gani ulilowahi kumfanyia? Huna hata post moja inayo criticize serikali ya Rais wako! Can't you even think, just a little bit before you post anything here? This is pathetic!
Kama Polisi wanasema hatujui na tunafanya uchunguzi..! Na Bashite ambaye si polisi anasema tutampata kabla ya Jumapili..! na leo ni Jumamosi na habari inasema amepatikana...! Kwa busara ya kawaida tu tutasema nini hapa?
Sidhani kama shida ni kwa Chadema? Shida ni ndani ya CCM wenyewe. Vyama vya upinzani wakati wa uchaguzi kazi yao ni kuonyesha ilani itakayoahidi kwa uhakika maendeleo bora zaidi kwa wananchi. Kwamba hayo yote yamefanyika haina maana huo ndio ubora zaidi tunaoweza kufikia. Kwa rasilimali...
Hakuna aliyewahi kumdai... atoe vya nini sasa! Mwambie na JPM atoe vyake basi! Makonda ni mwajiriwa wa serikali, na serikali inadai kila mwajiriwa wake athibitishe vyeti vyake. Huu sio ushabiki wa kisiasa, ni uwajibikaji serikali ya Magufuli. Hivi ndivyo kazi ya magufuli inafanywa kuwa ngumu kwa...
Shida ni kuwa na kiongozi mwenye wivu wa maendeleo. Hata tukilima tukafanikiwa, atatuonea wivu kwa mafanikio yetu...! So, atafanya kila mbinu tusifanikiwe ktk kilimo pia. Mpaka wote tuimbe wimbo anaotaka yeye!
Sasa raha ya hii movie yote ni hapo kesho ktk ufufuo na uzima... Baba mtoto mwenyewe akishapata hii story atakavyomwaga laana yake sasa! Mbona kutanoga hapa JF, sijui kama hiyo Dar itakalika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.