Wana JF naomba kutoa hoja;
Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu.
Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND saga- wote wako huru wamesafishwa bungeni na hata, wanapeta kwenye wakiomba kura majimboni kwao na...
Ni muhimu sana kwani hili swala linaathiri vizazi vingi. Ni muhimu watanzania waelimishwe athari na manufaa wao wenyewe wapime. Sio viongozi, viongozi ni sehemu ndogo sana ya jamii ya watanzania na historia inaonyesha ni viongozi wachache sana ktk taifa hletu wamefanya mambo kwa manufaa ya...
Hii habari imekanushwa na vyanzo vya uhakika hivi punde- ni wanamaji wa wa jeshi la tanzania walikuwa kwenye mazoezi ya kushtukiza.
Vyaeni vyetu vyenu, indeleeni na shughuli kama kawaida!
Kaniki,
Kwanini unapenda kujiunganisha kwenye laana ya Watanzania dhidi ya Mkapa? Hututakuhukumu kwa sasa, inaonekana wewe hauishi TZ kabisa.
Kama Nyerere alivyosema, ikulu ni mahali patakatifu- Mkapa alipafisadi pale! Angalia mawaziri na maofisa wa serikali yake, wako mahakamani! Hata hizo...
WanaJF,
Bwana Pinda amekuwa na kauli nyingi zenye utata, lakini hiyo tu inaonyesha jinsi nchi ilivyo na umasikini wa uongozi. Kwani hii si mara ya kwanza kwa viongozi wa kuongea irresponsibly, mmewasahau kina Mramba(watanzania watakula majani), Msuya( kila mtu ataubeba mzigo wake), Chenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.