You do nothing. Kama mzazi umeweza kulipa pesa zote hizo na ulikuwa unafatilia homework,tests na vikao vya mara kwa mara vya parent teacher and student kujua maendeleo ya mwanao, this will not come as a surprise. Hapo baba amereact ni kama hajawahi kuona kazi za mtoto the whole year.
Otherwise...
Mimba sio ugonjwa jamani,hatuwapishi kwa sababu tunajua hawaumwi. We've been there done that,nyinyi ambao hamjawahi ndio mnachukulia kama mimba ni booonge ya ulemavu.
Anza potty training taratibu akizoea unaachana na diapers. Lakini jaribu kuchange diaper brand maybe he/she is just not comfortable with the one you are using now.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.