Mnaendeleza jamii gani zaidi ya kusapoti ushoga?
Hayo si ndio mnaita maendeleo?
Tazama mnavyouharibu Ulimwengu.
Leo wanamme na wanamke wenu ukikutana nao hujui yupi ni yupi.
Kiswahili pia kinakupa Shida.
Ati "HACHA ....
"FIKILIA.....
Huku ndiko unakoita "Kusoma"?
Mfnsfnssssssssssss.
Ovyo!!
Huyo Dada Echolima ni mboga laini mno. Akili kuambiwa. Elimu Ndio bahati mbaya. Hata ile ya kata hakuipata. Naskia alikuwa mpishi Jeshini. Kazi yake kukarangiza Hanjumati. Kina afande alfonso wakija wanatafuna tu. Ni Bendera mfuata upepo. Kwake kila akifanyacho Mgalatia Ni swsws hata akijisaidia...
Hawa ndio watumwa wa 21st century.
Kazaliwa Anaitwa Chaupele. Baada ya kuzijua kalikiti na Michubuo anajiita celinawetu.
Chaupele limemkosesha Soko.
Hatari sana.
Hilo jina La Celina km sio hao wazungu ungelipata wapi we pashkuna? Ukute mama Celina alikuita Chaupele. Ukaokosa wanamme ukaamua kubadili.
Nyie machangu wa vingunguti mmepewa na nani Ruksa kuingia humu.?
Peleka uchangu wako Huko huko Mahakama ya fisi
Hapa Mabuzi Hupati.
Nyamafu wahedi.
We mama Unafahamu Mzee Mohamed said katokea Wapi?au unaropoka tu.
Hizi pombe za Kienyeji zinaharibu Uzazi. Utashindwa Kubeba mimba Ukose mume.
Shauri yako
Bi mkubwa huna habari Watu wanaishi kwa Cheo hicho hapo Juu?
Mtu km Kadinali pengo na Gwajima bila udini wangejulikana na Kula wapi?
Ukitaka kumkashifu mtu chagua maneno yako vizuri usijemsifu kwa kukosa elimu.
Ahsanta
Kina mama wapenda vya bure km wewe kushirikiana na Mashoga ni kitu cha kawaida.
Chunga tu usijetoka nje bila kanga.
Tutakupigia firimbi upate kipigo kitakatifu.
Uchafu wa ushoga hapa Tanzania hatutaki. Pelekeni huko huko Israel.
Na kule kwenu Ukerewe.
Bi mkubwa km uyasemayo ni kweli si ulete ushahidi km huu. ?
[emoji116]
Tel Aviv trumps New York to be named world's best gay city
Tel Aviv boasts one of the world's largest Gay Pride parades
Sio unabwabwaja ka Bi kidude.
Leta data.
Kuna nchi yenye Mashoga wengi ka Israel.
Mkuu ukitaka kutoka ki maisha Fungua kanisa tu. Utapiha pesa mpk uzikatae.
Mwenye kiwanda cha viatu au Nguo hapati faida km mwenye kanisa.
Hilo ni Dunia nzima.
Una maana wagonjwa wote wa UKIMWI Hawana Imani?
Acha porojo wewe. Maradhi mengine hata Uombewe na Wachungaji na Maaskofu dunia Nzima Huponi Ng'o.
Mtaibiwa mpk kufa nyie.
Teh teh teh.
Value for money kwani uko Kwenye sale ya saba saba?
Huko ni biashara kwenda mbele.
We umeshawahi kukutana na Mchungaji maskini kuliko kondoo wake?
Sasa ulidhani huo utajiri walipata kwa kuombewa?
We km hela huna na maombi HUPATI. Na ukiendelea Kulalama hela Hazirudi. Na kupona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.