Search results

  1. idaz

    Filamu Zilizotabiri ‘Future of Humanity’ kwa Usahihi

    Makala elimishi kabisa,shukran.
  2. idaz

    Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala

    Brazil kwa kuuza soy beans pekee inaingiza Usd 35 billion..zaidi ya budget yetu nzima! Mbona hatufikirii kukipa bust kilimo cha umwagiliaji ambacho kitaajir lots of pple na kupunguza umasikini,haya madude yananunuliwa kwa pesa mingi na pia maintanance yake ni kubwa mno, lets be real,namna hii...
  3. idaz

    Hii ndio bajeti ambayo haikosagi hela toka Serikalini

    Issue ni serikali kuendelea kukomalia kukopa , kuweka kikokotoo kumbana mtumishi ilihali kuna ubadhirifu wa kutisha kwenye ripot ya CAG na hakuna kinachofanyika.
  4. idaz

    Matumizi ya "CPA" kwenye initial za majina ni sahihi?

    Na anaejiita hivo unaweza mpeleka nje akashindwa kufanya kazi, CPA yake ni ndani ya mipaka tu😀😀😀😀
  5. idaz

    Picha za MPARD Project Mombasa

    Ni ukweli, wenzetu Kenya wako mbali sana mathalani kwenye majiji.. Mwanza,Arusha na dom hamna inayosogelea Mombasa, tupige kazi wabongo kelele hazitatusaidia ilhali kila kitu kiko wazi!
  6. idaz

    Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

    Anafanya alichotumwa kufanya, ts not a coincidence!
  7. idaz

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Kama umeweza generate 1b, huwezi pelekea watu wengine pesa zako wazifanyie kazi ilihali wewe unaakili ya kuizungusha, uchum wetu ulivyokaa,biashara ndio kitu kinawez mtoa mtu kwa haraka tofauti na ughaibuni.
  8. idaz

    Mkuu wa Majeshi ya Israel akiri kushindwa na Hamas

    Vita iendelee au isimame? Hamueleweki! Gaza is in ruins, unaongea trash!
  9. idaz

    Kwanini Vyama vya Wafanyakazi havipigi kelele suala la Kikokotoo?

    Kelele zimekuwa nyingi kuhusu kikokotoo, hamna kauli dhabiti iliyotoka toka kwa "Vyama vya Wafanyakazi". Kazi ya hivi vyama binafsi siioni zaid ya kuvalishwa sare na kuandamana Mei Mosi, serikali tafadhali ongeza kikokotoo mara buku hadi akili ziwakae! Kila mtu analalamikia chumbani kwake...
  10. idaz

    Kama mzaha hoja ya Mbunge Shabibi inaweza kutungiwa Sheria kuongeza maumivu kwa wananchi

    Na inawezekana ikapita kabisa! Cha kusikitisha hawaongelei maelekezo ya CAG kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma na kubana matumizi yasiyo ya lazma! Hata makisio ya Shabiby ya kukusanya trillion 2 bado zitapigwa tu,koz hamna uwajibikaji serikalini!
  11. idaz

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Waalimu wameshamchukulia fom mama!
  12. idaz

    Haijapata kutokea ila imetokea sasa ndio maana tunawasifu na kuwaunga mkono viongozi wetu

    Mwika kusini kukipata hilo tank la maji kabla ya 2025 uchaguzi..kura yangu nitampa Kimei!
  13. idaz

    Sasa hawa watu wa VAR wanalipwa kwa kazi gani?

    Ule mpira naona kabisaa umevuka, clear goal!
  14. idaz

    Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Somehw true...sema breakfast ya buku inaweza kuwa tasty but sio muhimu...mkoa usiojali vegetables ni huu..sema ni wapish kwel kwel
  15. idaz

    Ushauri kwa Waziri wa Ardhi na Makazi: Sikiliza pande zote mbili za mgogoro kabla ya kutoa maamuzi

    kweli, maamuzi yafanyike kwa kuheshimu Mihimili mingine! Otherwise naye ataonekana wale wale tu,alafu atajichumia dhambi sehemu ambayo kwania njema kabisa,kafanya maamuzi yasiyo ya haki.
  16. idaz

    Kwa imani ya Kikatoliki, Hayati Magufuli alibahatika kupata Kifo chema

    Ben Saanane..Azory Gwanda...Leopold, Wote hawa wameacha familia zao kwa udhalimu wa jiwe na Bashite.
  17. idaz

    Kuna shida kubwa Bandarini, Serikali ipo kimya!

    Shida bongo tunaingiza siasa hata kwenye vitu visivyohitaji siasa hata kidogo. Kuna magazeti ya leo ukiyasoma yanavopingana na ukweli unaoendelea pale bandarini utastaajabu na kujiuliza maswali mengi sana yasiyo na majibu. Bandarini tutaona vimbwenga vingi sanaa, ule mkataba wa kuforce lazma...
  18. idaz

    Tume ya haki za binadamu fuatilieni kauli ya mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha

    "Limtokalo mtu,ndilo lililo ujaza moyo wake"... Anaposema hivo, kodi zetu tulizolipa zifanye kazi gani? Akili ndogo kama mwanaye!
Back
Top Bottom