Uzembe wa kufikiri wa baadhi ya viongozi wa chadema ni chanzo cha huo muonekano wa kutojipanga. Kama wameanza ugomvi wao kwa wao ndani ya chama na kutumia mitandao ya kijamii kutatua migogoro Yao badala ya kutumia vikao ni dalili ya anguko kama ilivyokuwa kwa NCCR.
Hii hata mi mwanzo ilinishangaza lakin kumbe ndani ya mwili wa huyu mtu kuanzia pale mwili wake ulipogusa hiyo chuma umezungukwa na hiyo chuma iliyoungwa na ilitengenezwa kufit nguo na mwili wake. Kwa hiyo kaivalia hiyo chuma kwa ndani kiasi kwamba huwezi kugundua kirahisim
Jide atashinda tu maana ndo anaonekana kupambana kwa niaba ya wasanii wote. Luge amekuwa akifanya hivi dirty business maisha yake yote.....Hachoki??????!!!!!!!
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Hapa hatutukanani bali tunapambana kwa hoja.....Hebu kaka Nape na wewe tueleze Elimu yako ili tujue kilichojiri upande wako na si kusikiliza wenzio. nakutegemea usiniangushe.
Kweli maprosoo naona umeishiwa. kama anataka nafasi ya kuchekesha wewe useme sion sababu ya amponde mwanaume mwenzio ambaye anatafuta cha kupeleka tumbon. usikute hata wewe hapo kazini kwako wanakusema hujui lolote ni KAMLETE na umeletwa na ndugu ya. Kama una shida ya kutoa makavu live nenda...
You are so low-minded..yaani unahic walichokifanya marekani ni sawa. Binadam wewe nadhan bado una utumwa wa akili. Hawa watu ni Culture yao na wana enjoy. Unajua kama hii inaongeza idadi ya wasichana Bikra huko kwao. Huyu jamaa anafanya hadharan...haya nieleze unajua kiongozi wako ana wanawake...
You are so low-minded..yaani unahic walichokifanya marekani ni sawa. Binadam wewe nadhan bado una utumwa wa akili. Hawa watu ni Culture yao na wana enjoy. Unajua kama hii inaongeza idadi ya wasichana Bikra huko kwao. Huyu jamaa anafanya hadharan...haya nieleze unajua kiongozi wako ana wanawake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.