Pengine Ankal bado anachuja comments ili achakachue zote zinazosakama CCM. Naona huwa anatumia muda mrefu kuchekecha makomenti yote yale na kuamua ipi inapigia debe CCM aibandike na zingine zote zenye mawazo na hoja mbadala azikatae. Alianza vizuri sana lakini sasa asipokuwa mwangalifu blogu...
Nimeiona hii makala ndefu yenye uchambuzi wa kina kuhusu mkabala mzima wa jamii ya Tanzania - inakotoka, jinsi ilivyofikia kuwa na tovuti kama ZE UTAMU, athari za utandawazi pamoja na changamoto la nini cha kufanya. Ni makala nzuri ya kiuchambuzi ambayo pengine itakuwa vizuri tukiijadili hapa...
Kuhusu wanaume kutoitwa kwa majina ya wake zao nadhani ni matokeo ya mfumo dume mbao wanawake bado wanapambana nao. Kumbuka kwamba katika jamii nyingi mwanamke alikuwa ni kama "mali" ya mume na kwa lojiki ya kawaida mmiliki hawezi kuitwa kwa jina la mmilikiwa. Kufanya hivyo ni kumdogosha yeye na...
Ndiyo tu nimejiunga na forum hii. Naahidi kuwa mwanachama productive nitakayeshiriki katika mijadala kwa hoja. Ninaleta post yangu ya kwanza muda si mrefu ujao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.