Pitia habari katika link hii hapa chini kufahamu kwa nini miili ya marehemu hao 5 haiwezi kupatikana.
Check out this story: Why Bodies of Titanic Sub Crew Will Likely Never Be Recovered, According to Ex-Navy Doctor from Flipboard.
Kwa wanavyosema wataalam, kufa kwao kulikuwa kwa haraka sana, zaidi ya mwendo wa taarifa zinazobebwa na mishipa ya fahamu kuwasilisha nini kimetokea...hivyo kama ni nafuu yeyote, kufa kwao kulikuwa kwa haraka sana na kusiko na maumivu yanayoweza hisiwa na marehemu.
Na kuhusu miili yao, kwa...
Hahaha [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Asee naonaga siku zote East ni softer kuliko West mkuu.
Unaona mitanange ya West ilivyo asee?! [emoji23]
Juzi kweli Tatum aliplay clutch game Safi sana dakika za mwisho.
Dah, masta umeandika uchambuzi mmoja una madini sana.
Na umeandika katika namna mtu yeyote yule anaweza kuelewa na juu ya mada muhimu sana kwa maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.
Kudos!
Sent from my POCOPHONE F1 using JamiiForums mobile app
Habari WanaJF,
Poleni na majukumu ya maisha.
Kumradhi kama kuna uzi ulishawahi kuwepo wenye maudhui kama kichwa cha habari kinavyosema.
Emb tukumbushe mambo/vitu/mitindo yaliyokuwa yakitia fora kipindi ukiwa unakua; iwe ulivyokuwa mdogo, katika harakati za elimu, mtaani/kwenye jamii, n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.