Mimi Chinese boy sometimes nafurahia kuishi kwa hawa jamaa lakini sometimes ni noma.Yaani Hi5 ni zaidi ya mwaka hatuwezi ipata hapa,youtube karibu mwaka...Ilipo banwa Hi5,watu wote wakajikita
katika facebook lakini zile vurugu za hivi karibuni zimefanya nayo
ifungiwe.Yaani classmate wangu wa...
Nchini kwao pia unaweza zaa watoto wawili kama baba na mama wote
wametoka familia za kichina zenye mtoto mmoja.Pia wale wa makabila madogo wanaruhusiwa kuzaa wawili.Pia kama una pesa ya kutosha ukikutwa umezaa wa pili unaweza pewa adhabu ya kulipa pesa fulani then inakuwa imetoka.Kwa kijijini...
Januari Tarehe 21,2009 Kulikuwa na Shamra Shamra za Kusisimua pale sehemu moja ya jiji la Wuhan Pale ambapo wachina wameshuhudia moja ya matukio machache sana ambapo kijana wao amejitosa na kuopoa mrembo wa Ki Ethiopia.Huyu Jamaa amekutana na binti akiwa kule Ethiopia
katika huduma ya...
谢谢!xiexie!-Asante!
Kumbe kuna Chinese boys/girls wengine,Nashukuru Triplets kwa kunikaribisha.Nitajitahidi leta yale machache niliyo na uzoefu nayo na akina
Triplets watanisaidia katika hili!haha!
Kwa wasiojua Jambo Forum是最棒哦-JF shi zui bang oo-JF...
Haha! If they need Those with "unique international identification code"
These friends will make for them and hope at same prices or they will just be required to add little money!!!But the should straight talk to the factory and not just get into Guangzhou/Shenzhen and collect whatever they...
Haha!Sijui kwa Kiafrika kwa sasa,Ila sasa China ndo kawaida kabisa,Na Binti asiposhikwa mkono na Boyfriend wake njiani yaweza kuwa ugonvi...na mabusu wala hakuna shida watu wala hata hawaangalii maana ni kawaida.Na wachina pia miaka kadhaa iliyopita hii kitu haikuwepo na vyuoni ilikuwa ni sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.