Eh kumbe tunahitaji Gori moja tu tunaenda Olimpiki vijana wakaze puti jamani Sala zenu zinahitajika jamani VIJANA STAZ watafunga moja hilo si tatizo kwao.
Re: Baada ya north africa itakuwa east africa people's power spread
Acha kuota ndoto za mchana, unajua sababu za kina za Nchi za Tunisia na Misri kufanya hivyo ?
Acha kuwa muoga ndiyo ninyi mnao faidika na huu unyonyaji shauri yako tunakuja kutoa watu hapa.
Ubishe usibishe utakumbuka hii...
Wakuu ninacho jifunza kutoka kaskazini ya Africa ni kama tulivyo wavumilivu sisi watanzania, nao pia walivumilia sana tena wao wanaviongozi ambao ni madictator kuliko tulio nao sisi kwetu africa mashariki na hasa Tanzania.
Nionacho au ninachojifunza kutoka kwa hawa watu nikuwa PEOPLE'S POWER...
Jameni tuamke sasa tusifanye vitu kama bado tunatawaliwa na wakoloni tupo huru lkn bado tunatawariwa hata kuamua hatma ya maisha ya watoto wetu???
Lini nasi(kizazi hiki) tutabaki kwenye kumbukumbu yakuwa tumeitetea nchi kama wazazi wetu walivyo itetea nchi kipindi cha ukoloni?
Ji ulize wewe...
wana JF na watanzania kwa ujumla nina wazo ambalo naweza kusema kuwa tuatakuwa tumetatua matatizo mengi sana katika nchi yetu hii.
Mimi binafsi nimependa sana walichofanya watunisia ..... Hivi sisi hatuwezi fanya kitu kinachofanana na hicho? Maana Nchi hii siielewi kabisa kama vile hakuna Raisi...
Kheri mficha uchi ambaye baadaye ataadhirika kwa malazi ...Ninacho kiona hapa kwa hii walaka ni kama ngonjera kwa watoto wanao kaaa mtaa mmoja.
Hakuna ufikiri yakinifu wowote ulio semwa hapo ukisoma walaka huo siwezi amini kama mashehe na wanazuoni wanaweza kuandika kitu kama hiki unless...
Si zani kama unaelewa hiyo Technology.. Hakuna mdada anaye ita pale bro... Everything imekuwa programed ...utazoea tu hizo ndiyo huduma bora TATIZO LA SISI WATANZANIA HATUNA TABIA YA KUQUEUE ... USHAZOEA ZOGO KAMA MPO SOKONI VILE.
Yote yanaweza kuwa majibu ya kukusaidia lakini... ki Biolojia hizo ni dalili za AMOEBA hivyo fanya mpango uende hospital na watakupa anti biotic.... Usichelewe AMOEBA inauwa tena sana kwa watu wazima plz wahi hospital.
Duh Watanzania tunamezwa na ujinga,woga na upumbavu. katika hali ya kawaida wewe Dar es Salaam unaweza tetea unayo ya sikia kutoka kwa IKULU bila hata kufikiri usiwe kama gari bovu ambalo litafuata mwelekeo unapo lisukuma.
Watanzania tubadilike ili maisha nayo yabadilike ...Hawa Mafisadi mbona...
Dah maajabu ya musa haya.... Hawa si Vijana wasomi ila ni Vijana wasomewa....
Hiki kitu ni ujinga mtupu hawajui lile wala hili.. hope wanasoma kindergarten si chuo.
Msomi wa chuo hawezi hata kuchanganua nini maana ya wabunge kutoka ndani ya bunge au mfano hata wabunge wanapo simama kuna...
Habari zina sema Chadema imeshinda lakini mkurugenzi kapigwa mkwara akitangaza chadema imeshinda atafute sehemu ya kazi nyingine.
Hivi kweli jamani hii ni haki kweli? wamerudia kuhesabu na wakaweka za kuchakachua lkn bado wameshindwa sasa hawataki kutangaza mshindi, jamani wakilombero...
Wajameni Chadema mlioko Kilombero wana wa ccm wanachakachua matokeo hawataki kutangaza matokeo Mteketa nasika kaongoza kwa kidogo sana pale ifakara tena kituo kimoja kibao ifakara sasa wana sua sua kutangaza matokeo.
Tusaidieni mliopo Kilombero ndugu zenu wa malinyi siku nyingi wamemaliza kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.