Kama wewe ni mchawi, mganga wa kienyeji, mfuga majini, msoma nyota, mhirizi, na una vibwengo lazima utoe povu!
Hatuchekei kima sisi! Samahani kwa kusema kweli!
Kwani huyo baba hana watoto wengine? Kwann kila kitu Diamond?
Alimtupa diamond akaenda kuzaa watoto wengine aliowajali na kumsahau Diamond! Sasa analazimisha msaada!
Avumilie mateso kama alivyovumilia mzazi mwenzie ya kulea mtoto peke yake!
Well said Mdau! Rasimu ya katiba ya Warioba wameichakachua kwa uroho wa madaraka Sasa wanakuja na ngonjera za kuchagua Rais kwa kuangalia kabila?
Hivi ninyi maccm nani kawaroga? mmekuwa kama watoto wadogo walovaa pampers!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.