Mhe Rais wetu JPM tunaomba apewe nafasi atoe mada kuhusu Africa kutumia lugha zake kutolea elimu ana mifano ya china na Ufaransa kutoongea kiingereza na niwasomi na hata ujerumani apewe nafasi akinadi kiswahili chetu BAKITA siku hizi sijui wameenda wapi wanamwachia mhe kazi zao
Afadhali hujampiga picha umeonyesha ukomavu ukalileta kama hoja / issue na sio kujadili watu bali hoja we kweli ni jf mwenye uelewa wa ki great thinker
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.