Kwa taarifa yako,
Jina hili ni miongoni mwa chachu zilizoifanya UDOM ipae. Labda kwa faida yako mkuu; ukimpa mtu jina la kebehi linasababisha ajitathmini na hatimaye afanye maboresho makubwa kwenye nyanja tofauti mwishowe anakuwa mtu bora kwenye jamii.
Hata tukiwapeleka watoto, wao wakibaki home kubanduliwa kupo palepale maana ni tabia binafsi ya mhusika. Watabanduliwa home hapo hapo. Bora wabanduliwe huko huko nje.
Dr. Alex Khalidi (RIP) alikuwa Mbunge wa Mitema Newala (siyo Mtama), ndiye alikuwa mmiliki wa Makondeko hapo Luguruni Dsm. Kimsingi yeye ndiye alimleta Yvonne Chakachaka hapa Tanzania mwaka 1988 lakini mwanamuziki huyo hakufanya show Makondeko bali alifanya show 3, ya kwanza alifanya Kilimanjaro...
Hiyo album yenye nyimbo kama vile Utukufu na ukuu, Wewe ndiwe Petro, Bwana Mfalme ameketi milele, Nimemkuta Daudi, n.k. ninayo. Naitafuta ile nyingine yenye nyimbo za Tumpokee Kiongozi wetu na mchungaji wetu mwema, Tumpokee kwa shangwe, n.k.
Hivi kumbe Utumishi wa umma ni ualimu tu? Au mtoa mada sijakuelewa vizuri? Mbona kuna kada nyingi sana nchi hii zinazohusiana na utumishi wa umma au hauelewi maana ya utumishi wa umma? Nakushauri badilisha title ya post yako kwa kuwa inawahusu Walimu tu ijapokuwa watumishi wa umma wote hakuna...
Utamaduni wa kujichora usoni ulianza zama za biashara ya Utumwa, wale wanunuzi wa Watumwa walikuwa hawanunui watu wenye michoro (chase) usoni hivyo Wamakonde wakabuni hiyo style ya kujichora usoni ili wasinunuliwe. Biashara ya Utumwa ilipokomeshwa, uchoraji huo ambao unatumia kitu Chenye ncha...
Yap! Ni Wamawiya ijapokuwa hili jina la Umawiya linatumika kule Msumbiji ila wakivuka Mto Ruvuma na kuingia Tanzania wanakuwa Wamakonde. Ni sawa na Wamakua, kule Msumbiji wanaitwa Wameto ila wakivuka kuja huku Tanzania wanaitwa Wamakua. Na ndio maana Tanzania katika orodha ya makabila hautaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.