Nakumbuka niko zangu home, demu ananitext,”mambo” nikajibu “Poa!” Baada ya hapo text zikawa nyingi, mara “ I am hungry “! Nikaagiza chakula si huyooooo akaja kuchukuwa, baadaye akaamuwa kulia chakula hicho kwangu, huku tukiendelea kupiga story,
Baadaye akauliza kama nina wine, bahati nzuri huwa...
Mlitaka Dunia nzima ielekee Madagascar vadala ya kuwalilia Big Pharma? Ndiyo maana tunadharau dawa zetu ba kukumbatia dawa za kigeni wakati hata wao hutumia mizizi, majani ba magone ya miti kutengenezea dawa hizo. Lolz
Mwana siasa na Meya wa zamani wa jiji la Cincinnati, Ohio Gerald Norman Springer aliyejizolea umaarufu kupitia kipindi chake cha Jerry Springer, amefariki dunia.
Jerry Springer ni mwenyeji wa televisheni maarufu wa Marekani na mwanasiasa wa zamani ambaye alizaliwa mnamo Februari 13, 1944...
Ni miaka 13 sasa, alikiwa girlfriend enzi hizo. Nikawa nagonga huku nimevaa ndomu.(maana tulikuwa tunafanyia kwake, na ndomu natupa kwenye dustbin) siku moja nikamkuta ananyonya sperms kwa kutumia syringe, nikashtuka. Kumuuliza akadai yeye anahitaji mtoto wakati mimi sikuwa hata na wazo...
Johari Mugisha, amejifungua watoto sita nchini Burundi leo baada ya kufanyiwa upasuaji(c-section). Watatu wa kiume na watatu wa kike. Wote mama na watoto wanaendelea vizuri.
Ijumaa iliyopita Waziri Mkuu wa Burundi Gervais Ndirakobuca alimtembelea Johari na kumkabidhi millioni tano(5,000,000.00...
Mi naona kuwa Mungu alitaka kum test Adam aone
Akili zake zinafika wapi. Maana haiwezekani awaumbe wanyama wote jike na dume, kisha amuumbe Adamu bila mwenza, wakati mpango ulikuwa viumbe vyote wazaliane( miti, wanyama, samaki, wanadamu). [emoji848]Kuna fumbo hapo
Point of correction:
Mungu hakuumba mbingu na nchi kwa siku sita. Ukisoma Kitabu ca Mwanzo 1:1 “Hapo mwanzo Mungu aliiziumba Mbingu na nchi…” hapo MWANZO( ni kabla ya Uumbaji kuanza Duniani). Siku sita zilikuwa za Uumbaji kwenye sayari ya Dunia. Inaonekana Uumbaji wa Mbingu na sayari zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.