Hongera sana Kaka Zitto hizo ni kelele ila ukweli unabaki umesimama Imara sana katika kipindi chote kaka na pia Sisi Watanzania tumeona kuwa umekuwa imara ziku zote
Yeye tayari amepata laana na kamwe hawezi kushinda urais wa Tanzania hata waseme nini Mungu analitazama Israel kwa jicho la tofauti sana hivyo ni bora Membe angekuwa kimnya kabisa
Huyu JK alianza mapema sana harakati zake za urais hivyo mimi nashangaa kuona kwanini CCM inawakatalia makada wake kujitangaza mapema pia vipindi na nyakati za kisiasa zimebadilika sana kupita kiasi hivyo ni ngumu sana kwa nyakati hizi kumpata au vyombo vya habari kupata na kumpamba mtu kama...
Kuna kitu kinaitwa leasing on airplane kama wanataka serikali wanaweza kukopa hata miaka 30 hivi na kuwekeza kwenye ndege ila kwa kuwa serikali haina priority kwenye usafirishaji wa anga basi ngoja tubaki hivi hivi
Umesema ukweli kwa kiasi fulani na watu wengi sana huwa wanakuwa mashabiki ikilinganishwa na CHADEMA basi CCM kweli inalea vijana wake vizuri CHADEMA wanakufukuza mara moja ni kweli kabisa
Kuna haja ya Watanzania kwenda kujifunza huko Israel na hata kilimo hasa sehemu za jangwa kama wamefikia hata kulima na kuzalisha nyanya na kulisha dunia kuna haja ya kwenda kujifuna huko
Mzee mwanakijiji kama wakifanikiwa kuvuka salama kwenye suala hili la Muungano basi ndio kigezo chao kikubwa ila kimsingi tunataka serikali3 na Tanganyika yetu
Kitu kikubwa inakiona kuwa ni lazima kutakuwa na kubadilishwa kwa vipengele kibao hasa madaraka ya rais na muungano hivyo wengi watajiuliza mengi kwa CCm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.