Kituo cha i.t.v ktk taarifa za habari wana mtindo wa ku pitisha maneno ya habari zilizomo, usiku huu nimeshangaa habari ya kuhusu kesi ya lema na mulongo imeyeyukia hewani bila kurushwa. .sitaki kuamini i.t.v nao wanatumikia serikali na ccm kama tbc. Ila nina imani kuna mtu kapigiwa simu akipewa...
Nimechaguliwa hii programe ila cjui chochote na prospectus ya udom inazingua. Naomba ufafanuzi kuhusu bcom in finance course gani ziko ndani yake, soko la udom kwenye hii programe na ukimaliza unaweza fanya kazi gani. Ahsante.
Bro ritz Watoto wa mwalimu nyerere na bibi yetu vipi MKILA NATIONAL CAKE mnawagawia ? ? ? Na nyie wana jamvi je . .? Baba kama nyerere na baba kama kikwete yupi bora?
Tcu deadline imepita alafu kwenye vyuo walivyoeka watu wafanye transfer ni aidha chuo kibaya au kozi mbaya infact nataka kusomea dar kwani mkoani nkikosa loan cjui itakuaje. .n what if cna ile point 0.5 ya gs tunaweza negotiate?
mbona uko kama mwanamke wewe. .habari za chadema zinakuhusu nini. . .watanzania shuhudieni akili za uvccm hawa za kujadili upinzani badala ya kushughulika na wananchi
Mapadre , watalii kumwagiwa Tindikali zanzibar sasa imekua ni jambo la kawaida hata serikali sasa NAONA IMECHOKA (quote pinda) na inaacha watu WAMWAGIWE TINDIKALI TU. Jeshi letu la polisi sasa imekua ni chombo cha kukusanya kodi a.k.a rushwa na hakuna kingine wanachokijua, kumkamata muhalifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.