Nafuga chotara Sasso 4,000
Nikusaidie taarifa kuhusu chotara;
Ratio ya majogoo kwa mitetea ni 60-40 ukibahatika, ila mara nyingi ni 65-35 (mitetea wakiwa wachache).
Mortality kwenye hao 100 weka 30. Endapo hao 70 ratio ya majogoo itaendelea kubaki hivyo hivyo basi una mitetea 28-30 tu
Utauza...
Hako kascreen kanaserve purpose ya "monitor" sio kwa ajili ya kuchekia movie au kutumika kwa lengo kuu kama hizo zingine
Kwa hiyo wewe unapendekeza hiyo monitor ikae wapi? Kwenye buti au nje karibu na mlango wa tanki la mafuta?
Mwambie tunamsubiri afikie stage ya kama wenzake halafu tutajikusanya,tutasononeka na kujichanga aende Rehab..huku tukisikitika sana kwa sababu tunajua sio yeye ni shetani tu kampitia!
Compared to other marketing strategies,how relevant is Online Marketing in relation to technological advances and awareness in Tanzania?
How significant is OM?
Tuendelee kutumia kauli za kwenye matamasha kama tool ya kupima efficiency ya viongozi..
Aisee!! Utasema nini tena,ndo basi tena akili ikishagusa ceiling.
Pale mbongo anapoigiza yeye ni Mkenya
Pale mbongo hana pesa na ni weekend akaamua kushika simu na kuamua kulifanyia matumizi bundle lake la siku!
Pale mbongo anapoachwa home alinde nyumba na yupo bored hana company,hana kitu cha kufanya,hakuna cha maana cha kuangalia katika king'amuzi basi...
Utafiti uliofanywa na vijana wa Chuo Kikuu cha Nottingham Uingereza umebaini kuwa watanzania ndo watu wanafiki zaidi duniani..
========
The British and Dutch are the most honest in the world, while people in Tanzania are the least - and it's all down to how corrupt their politicians are
Dr...
Mayor wa manispaa ya Uthekela hapo South Africa ameanzisha mfuko maalumu wa kuwasomesha bure wasichana mabikra..
Na ili kuendelea kupata sponsorship hiyo kila ukitoka nyumbani likizo lazima upimwe kama bikra bado ipo,kama imepotea tafuta pesa yako mwenyewe ya kujisomesha
Programu hiyo...
Na pia lazima uruhusu room kidogo ya kudeal na risk ya inflation maana ada haipandishwi ovyo.
Mfano,hakuna uwezekano wa kupandisha ada katikati ya muhula wa masomo
Inflation ikiamua kununa hapo lazima uwe ushajiandaa na contingency plan..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.