Masharti yake ni yapi? Lazima mtumiaji awe eneo husika lililounganishwa au anaweza kutumia mahali popote mfano kaunganishiwa Dar anaweza kutumia akiwa MWANZA au sehemu nyingine tofauti na alipounganishiwa?
Jana waziri wa tamisemi alitangaza majina ya waliopata ajira lakini ajabu ukiangalia kwenye list utaona mtu kasoma MATHEMATICS ila kaandikiwa bachelor of arts
Huku akisema taasisi zaidi ya kumi zimehusika kwenye huo mchakato ikiwemo takukuru
Swali kwa wadau hivi kipindi anacheza Champions League inamaana wao CAF huwa hawafatilii issue za mikataba ya wachezaji? Je wao hawakuona kama bado ni mchezaji wa yanga au simba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.