SIku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la Viongozi, Wanachama maarufu, na watu wa kutegemewa kwenye vyama vya upinzani na hata CCM kuhama kwa visingizio kuwa wanaridhishwa na juhudi za JPM. Huku wale wa CCM wakidai demokrasia ina minywa! Binafsi nashangaaa! Kinachonifanya nishangae ni kudhani...
Imepita Muda tangu nije na huu uzi. Kiukweli kidogo nichungulie kaburi kwa maumivu ya kichwaaa.
Kwanza kabisa ni kuwa nilianza kuhisi maumivu ya kichwa usiku mmoja nikiwa nimelala nilichukulia poa kwa kuwa maumivu ya kichwa ni kawaida. Sasa asubuhi niliwahi kibandani kuchukua Panadol...
Imepita Muda tangu nije na huu uzi. Kiukweli kidogo nichungulie kaburi kwa maumivu ya kichwaaa.
Kwanza kabisa ni kuwa nilianza kuhisi maumivu ya kichwa usiku mmoja nikiwa nimelala nilichukulia poa kwa kuwa maumivu ya kichwa ni kawaida. Sasa asubuhi niliwahi kibandani kuchukua Panadol...
Hatusemi viko sawa ila mzunguko mmoja wa basi inaweza kuwa miwili ya pikipiki lkn kama hamruhusiwi kubadili mwendo basi pamoja na kuwa mwenye basi ataonekana yupo na mwendo mdogo ila pikipiki itakimbia sana
Duuu kwa ufupi ni kuwa ukishasema km per hour maana yake ni kuwa kwa saa moja itakimbia kilomita moja. Sasa 120km/hour ina maana chombo ndani ya muda wa lisaa kitatembea 120km hapa hatuangalii aina ya kifaa maana ni kweli kwa kuangalia tu ni kweli gari litaonekana halitembei sana kama pikipiki...
Natumia vodafone 785 ya laini moja. ninaomba msaada wa ku unlock ili niweze kutumia laini tofauti na VODACOM IMEI NO 359729059554596 SVN 240HPG1 natanguliza shukrani
Nimeelewa kuwa tusitegemeee makubwa sana kutoka kwa mgombea WA CCM Kwani mfumo ndio wenye maamuzi. Pia OBAMA yupo kutukumbusha kuwa NCHI haiongozwi kwa mapenzi ya mtu Bali ni mfumo(system) ileile yenye nguvu ndiyo huratibu mambo yote.kama isingekuwa hivyo basi Kenya wangenufaika na OBAMA
Simu hii ipovizuri kabisa haina hitilafu hata kidogo kila kitu kipo inagharimu TSh 180000 tu.imetumika wiki tatu sasa,sijazoea simu ngumu kutumia hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.