Na walio hakikiwa na wakapewa boom but hela ya field hawajapata wala kusign hadi leo unazungumziaje??? Au na hao pia wana hakikiwa?? mara ya pili[emoji15] [emoji15]
Nina flash yangu 64gb kila nikitaka kuformat haitoi option ya kuformat kwa fat 32 napata zingine only... na pia ukiweka files..... chache za mwanzo zinafanya kazi zingine zinafail....
wakati vitu vinaenda kombo na majina kujiunga jkt yanatangazwa tunajiuliza waziri wa elimu anafanya nini mbona kimya ndio kusema haoni kinacho endelea? mikopo watucheleweshee now jkt? waziri kama awezi kazi ajiuzuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.