miaka ya 90 niko chalii sana hata akili hazijakomaa kuna babu yangu alikua anakujaga home yule mzee alikua anaitwa "Babu Che Mambo" alikua anapiga tumbaku bandika bandua.
Wanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa sana majina ya kizungu kwa watoto wangu this time nataka kuonja ladha ya nyumbani,ili nisiwe mtumwa wa kuukataa unyumbani.
Chalii atakuja duniani siku sio nyingi.
Ukiwà na app 10 ukakopa 40 kila app,unakua na laki 4,unachukua laki unaweka odd 4,unapiga lak karibia laki 5,jioni unakaa zako Kitambaa cheupe unakula coktail mdogo mdogo huku unaperuzi swaafi kabisa,maisha yanataka fomula ndogo sana ili utoboe
Moja kwa moja kwenye mada....
Fanya hivi nenda setting>Privacy>permission manager>apps that can control your data....ukifungua huku utazikuta apps zote ulizo allow ku access simu yako then gusa kila kipengele kimoja kimoja kuanzia kwenye sms,camera,files,contacts utakuta hizo apps ulizoruhusu...
Fanya hivi nenda setting>Privacy>permission manager>apps that can control your data....ukifungua huk utazikuta app zote ulizo allow ku access simu yako then gusa moja moja utakuta kipengele cha dont allow.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.